Hakuna mafanikio ambayo yanakuja kirahisi katika maisha yetu, ili kupata chochote lazima upambane yaani maisha yamekuwa ni vita kama uliwahi kusema vita hakuna kipindi hiki ukiachana na vile vita vilivyowahi kutokea kama vita ya kwanza nay a pili ya dunia ila kwa sasa vita vyako ni maisha. Mambo ni magumu lakini ni magumu sana kwa …
Continue reading "Hakuna Aliyefanikiwa Kwa Kusikiliza Kitu Hiki Kwenye Maisha Yake"