Rafiki, kabla ya kuja kwa ajira watu walikuwa wanajitegemea wao wenyewe kwa kujifanyia shughuli zao kama vile kufanya biashara au kulima ili waweze kupata kipato. Tokea ajira au mfumo wa ajira uanzishwe mpaka sasa unazaidi ya miaka mia mbili lakini kabla ya hapo watu walikuwa wanaendesha maisha kawaida tu bila hata kutegemea ajira. Mapinduzi ya …
Continue reading "Hii Ndiyo Biashara Kichaa Inayowaumiza Watu Wengi"