Haya Ndiyo Matatizo Yanayowasumbua Watu Wengi

Mpendwa rafiki yangu, Kama bado uko hai basi matatizo ni rafiki yako na utaachana naye pale siku mwili na roho yako vitakapotengana.  Na njia ya rahisi ya kukimbia matatizo ya duniani ni kutokuwepo duniani lakini kama unataka kuishi basi chukulia matatizo yapo na yataendelea kuwepo. Hivi dunia ingekuwaje kama ungekuwa unapata kile unachokitaka bila changamoto …

Haya Ndiyo Mahusiano Magumu Katika Zama Hizi Za Taarifa

Mpendwa rafiki yangu, Natumaini kila mmoja wetu yuko katika mahusiano na ni mpango wa Mungu kila mmoja wetu kuzaliwa katika mahusiano. Hivyo maisha ni hakuna kama hakuna mahusiano na wengine. Kuna mahusiano ambayo yana ladha na yale ambayo hayana ladha. Yale yenye ladha ni yapi na yale yasiyo na ladha ni yapi? Ukichunguza matatizo mengi …

Chochote Kinaweza kutokea, Jiandae Kukabiliana Nacho

Rafiki, Hakuna aliyeamka na kuanza siku atakutana na changamoto gani. Huwa tunaanza siku lakini hatujui siku yetu itaishaje. Kweli tunauwezo wa kujua sasa na kutawala uwepo wetu wa sasa. Tungekuwa tunajua nini kitatupata hapo baadaye huenda tungejiepusha lakini mambo mengi ni kama kitendawili vile. Ili uweze kujiandaa na chochote kile na jiandae kukabiliana na kila …

Mtu Pekee Anayeweza Kukufanyia Kazi Yako Kwa Ubora

Mpendwa rafiki, Kila mmoja wetu anapenda vitu bora katika maisha yake. Huwa tunapenda kuona kazi bora kupitia kwetu wenyewe na hata wanaotuzunguka. Kazi ndiyo utambulisho wa mtu na kama tunavyojua huwa hakuna mtu tunayemfanyia kazi zaidi ya sisi wenyewe. Usije ukalipua kazi na kusema hii siyo yangu sihitaji umakini kama vile navyofanya kazi yako. kazi …

Hisia Hatari Inayowatesa Watu Wengi Katika Karne Ya 21

Mpendwa rafiki yangu, Kuna hisia za aina mbili ziko hisia hasi na hisia chanya. Hisia hasi ni kama vile wivu, hasira nk wakati hisia chanya ni kama vile upendo,furaha nk. Kiufupi maisha yetu yanaendeshwa na hisia na karibu maeneo mengi ya maisha yetu tunafanya maamuzi kwa hisia ndiyo maana tukiwa na hisia fulani baada ya …

Hakuna Haki Bila Kitu Hiki Hapa

Mpendwa rafiki yangu, Karibu  misingi ya dini nyingi hapa duniani zinadai haki. Falsafa ya ustoa nayo inadai haki hivyo kila mmoja wetu anapenda kutendewa haki kwa kile alichokifanya.  Kumnyima mtu haki yake ni kumnyima uhuru wa maisha yake. Licha ya watu wengi kudai haki karibu maeneo mengi ya maisha yetu tunabidili tuzingatie kitu kimoja. Tunapaswa …

Jinsi Ya Kumlinda Mwenza Wako Katika Maisha Ya Ndoa

Mpendwa rafiki yangu, Katika karne hii ili uweze kubaki salama katika mahusiano yako ni kuwa mwaminifu sana. siyo tu kuwa mwaminifu tena ikiwezekana uwe na kisima chako mwenyewe na kama unataka kunywa maji basi unyewe maji ya kisima chako mwenyewe. kwa sababu visima vingine hujui nani kapita na wala hujua kama maji unayokunywa ni salama …

Akili Yako Iwaze Kitu Hiki Ili Uwe Na Mafanikio Makubwa

Mpendwa rafiki yangu, Tunatakiwa kuchunguza sana mawazo yetu pale tunapokuwa peke yetu. kuna wengine wanakosa uhuru wa maisha yaani hawawezi kujitawala ipasavyo hivyo wanaruhusu akili kuwaza chochote kile hata yale ambayo ni hasi kwake. Habari njema ni kwamba tumepewa uhuru wa kutawala mawazo yetu ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo hivyo tunatakiwa kutawala kitu …

Njia Pekee Ya Kurudisha Uhusiano Wa Awali

Mpendwa rafiki yangu, Sisi ni viumbe wa mahusiano na tunaishi katika mahusiano. Hakuna hata mmoja wetu ambaye hayuko katika mahusiano.  Wanasema kuishi na watu ni kazi ni kweli kabisa kuishi na watu ni kazi hivyo mahusiano mengi yanakuwa yanachangamoto kwa sababu kila mtu ana tabia yake. Unaweza kumfundisha mtu kazi lakini huwezi kumfundisha mtu tabia. …

Faida Za Kujiwekea Mipaka Kwenye Maisha Yako

Mpendwa rafiki yangu, Watu wengi wana changamoto ya kiasi yaani wanashindwa kuna na nidhamu ya kuwa na kiasi katika maisha yao. Ukishindwa kuwa na kiasi basi umeshindwa kuwa na mipaka. Watu wengi hawana mipaka wanaishi tu na usipokuwa na mipaka fulani katika maisha ni rahisi sana kupata hata kile ambacho hukutegemea kupata. Unatakiwa kuwa na …

Design a site like this with WordPress.com
Get started