Unapaswa Kwanza Kusadiki Kitu Hiki Ili Uweze Kufanikiwa

Mpendwa rafiki yangu, Ni rahisi sana kuwandanganya watu wa nje lakini ni ngumu sana kujidanganya wewe mwenyewe. Unaweza kuwadanganya watu wengi lakini huwezi kujidanganya mwenyewe. tumekuwa na maisha ya kuigiza ya kuonekana sisi ni watu wa namna gani mbele za watu lakini ukweli wa maisha yetu tunaujua sisi wenyewe hata kama tunadanganya. Leo hii nimejipa …

Kwanini Watu Wengi Wanashindwa Kutimiza Mipango Waliyojiwekea

Mpendwa rafiki yangu, Kupanga ni rahisi na kila mtu anaweza kupanga. Ulivyoanza mwaka huu umepanga lakini kwenye utekelezaji ni shida kidogo. Hakuna kitu chochote ambacho ni rahisi hapa duniu. Hakuna kitu chochote ambacho hakiitaji kazi, kila kitu kina hitaki kazi. Tunaishia kupanga tu, tunafikiri tukishapanga mambo yatakuya yenyewe bila kuweka kazi. Kila mtu angekuwa anatekeleza …

Pitwa Na Habari Zote Lakini Usikubali Kupitwa Na Habari Hii

Mpendwa rafiki yangu, Habari zimekuwa nyingi kuliko watu wanaopaswa kuzisikiliza. Habari zimekuwa kama kelele, ni nyingi kiasi kwamba zinawapoteza hata watu, hata utenge siku nzima huenda usimalize habari hizo kwa sababu kila sekunde habari mpya zinazalishwa. Tunapoteza muda mwingi kwenye kufuatilia habari kuliko kufanya kazi na uzalishaji. Mtu yuko radhi akose yote lakini asipitwe na …

Huwezi Kuishi Maisha Kikamilifu Bila Kuwa Na Fedha

Rafiki, Iko wazi kabisa bila hakuna mtu anayeweza kuishi maisha yake kikamilifu vile anavyotaka yeye bila kuwa na fedha. Kuwa na uhuru wa kifedha maana yake uko huru na kitu kinachoitwa pesa kwako siyo tatizo. Una uamuzi wa kufanya kitu chochote kile unachotaka. Kama bado unajiambia ningekuwa na fedha ningefanya hivi au vile hapo ni …

Kitu Pekee Ambacho Wazazi Wanakosea Katika Malezi Ya Watoto

Mpendwa rafiki yangu, Kama wewe siyo mzazi basi ni mzazi mtarajiwa. Wanasema kuzaa siyo kazi , bali kazi kulea mwana. Nawaunga mkono wahenga wetu. Wazazi wengi wanawalea watoto kama vile wako katika zama za kikoloni. Wazazi wamekuwa wanawaua watoto kwa kutumia ndimi zao,kuwanenea maneno ambayo siyo chanya juu yao. Tumekuwa na wazazi ambao wanawalea watoto …

Kabla Ya Mwaka KuishaUsisahau Kujifanyia Kitu Hiki Muhimu Kwako

Maisha yana pande mbilimaana na raha. Huwezi kuishi tu maisha yenye maana bila raha na huwezi tukuishi maisha ya raha bila kuwa na maana. Tunatakiwa tuiegemee eneo moja lamaisha bali tunatakiwa kuwa na mlinganyo wa maisha ambayo unakuwa na mlinganyo katika maeneo haya ya kiroho, kiakili na kimwili. Najua katika mwaka huuumekutana na mengi, yapo …

Chukua Tahadhari Katika Maeneo Haya Ya Maisha Yako

Tunatakiwa kuishi kwa karibu kila eneo la maisha yetu, usitegemee chochote katika maisha yako na wala usiweke matumaini kwenye kitu fulani kwa sababu dunia inaamua kufanya vile inavyotaka yenyewe. Kuna vitu ambavyo viko nje kabisa ya uwezo wetu wala hatuwezi kuzuia mabadiliko yanayotokea nje. Tuna uhuru wa mambo yako ndani ya uwezo wetu lakini mengine …

Huu Ndiyo Ubingwa Unaopaswa Kuwa Nao Katika Suala La Fedha

Mpendwa rafiki yangu, Hakuna mtu anayeweza kuishi maisha ya kikamilifu kiroho, kimwili na kiakili bila kuwa na fedha. Fedha inakuwezesha kupata kile unachotaka lakini bila fedha huwezi kupata kile unachotaka kwa muda unaotaka. Tukiachana na hewa tunayovuta basi katika zama hizi fedha imekuwa muhimu sana. Inagusa kila eneo la maisha yetu. Jukumu langu na wewe …

Kitu Cha Msingi Cha Kuzingatia Katika Mauzo

Mpendwa rafiki yangu, Biashara ni mauzo, kila mtu kuna kitu anauza ndani yake hivyo kinachotufanya sisi tuweze kuingiza kitu katika mifuko yetu ni kile tunachokiuza. Tunapouza kitu kwa wengine ndiyo tunapokea fedha, fedha ni zao la thamani hivyo tunapotoa thamani katika kile tunachofanya watu wengine wananua ile thamani yetu na wanakuwa tayari kutulipa kadiri ya …

Jiwekee Ukomo Huu Na Utafanikiwa Sana

Mpendwa rafiki yangu, Maisha bila nidhamu  huwa hayana maana kuishi. Binadamu bila kuwa na kitu ambacho kinamhamasisha kufanya ni mgumu sana kufanya. Watu wako tayari kufanya kama wakiona watu fulani wanafanya. Huwa tunahamasika kufanya kama tuna ona kuna wenzetu wanafanya hivyo na sisi tuna hamasika. Lakini ukitegemea hamasa ya nje ili uweze kufanikiwa basi utachukua …

Design a site like this with WordPress.com
Get started