Kila mmoja wetu ni kiongozi, Kama siyo kiongozi katika familia yako, taasisi basi ni kiongozi wa maisha yako mwenyewe. Kama unaweza kujiongoza basi unaweza kuwaongoza wengine. Iko njia rahisi sana katika uongozi ambayo kila kiongozi anatakiwa kuitumia ambayo ni ishi kile unachosema. Ukiwa ni mtu tu wa kusema halafu na wewe huishi kile unachosema watu …
Continue reading "Nadharia Iliyopitwa Na Wakati Katika Uongozi"