Iko njia rahisi sana ya kuwa mtu wa tofauti katika jamii unayoishi.Dunia ya leo, tumezoea kuwaona watu wakiishi maisha ya kawaida yaani maisha ya kimazoea ambayo hayawapi makubwa wala hata hayawasaidii kulipa bili. Kama unaishi maisha ya kimazoea ambayo hayakusaidii hata kulipa bili hayo siyo maisha, wengi wanaishi maisha ya kimazoea kwa sababu hawataki kufanyia …
Continue reading "Jinsi Ya Kuwa Mtu Wa Tofauti Katika Karne Ya 21"