Katika maisha, si kila jambo gumu ni la kulalamikia. Si kila changamoto ni laana. Kuna baadhi ya changamoto zina sura ya matatizo, lakini ndani yake zimebeba zawadi kubwa sana—zawadi ya ukuaji wako binafsi. Ndiyo maana inasemwa:"Kama linakusaidia kukua, siyo tatizo, bali ni zawadi." Watu wengi hukimbia maumivu, hukimbia usumbufu, hukimbia hali ngumu. Lakini wakisahau kuwa …
Continue reading "Kama Linakusaidia Kukua, Siyo Tatizo Bali ni Zawadi"