Habari ya leo mpendwa rafiki? Ni matumaini yangu hujambo na unaendela vizuri. Hongera kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo hivyo basi ni ushindi tosha nenda kaitumie vizuri zawadi katika mambo chanya ili upate matokeo chanya. Ukimsikia mtu anakuambia niko hapa napoteza poteza muda basi kabisa jua huyo mtu ni masikini, mvivu au kuna …
Continue reading “Hizi Ndiyo Dalili Za Mtu Ambaye Hajajitambua Katika Maisha Yake”