Mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa KESSY DEO, Kwanza imani haipimwi kwa mizani au kwa wiingi au kwa uchache kama ilivyo vitu vingine. Imani inapiwa kwa njia kuu mbili ya kwanza ni; Ukweli, unaweza kupima imani ya mtu fulani ni yakweli au la hivyo kupitia ukweli unaweza kupima imani lakini huwezi kuipima ndiyo maana …
Continue reading “Jinsi Ya Kupima Imani Yako Juu Ya Kitu Chochote Kile”