Huu Ndiyo Uwezo Mkubwa Wa Kila Kiongozi Anaopaswa Kuwa Nao

Linapokuja suala la uongozi  watu wanaanza kufikiria  viongozi wengine badala ya kuanza kujifikiria kwanza yeye kama kiongozi. Kila mtu ni kiongozi hata kama huna unaao waongoza lakini si unajiongoza mwenyewe. Uongozi umetawala kila sehemu ya maisha yetu kuanzia ngazi ya familia mpaka ngazi ya taifa. Kama uko hai huwezi kukwepa kuongoza au kuongozwa kwa sababu …

Haya Ndiyo Makosa Makubwa Tunayofanya Kwenye Maisha Yetu

Kuna ule wimbo ambao kila mmoja wetu anapenda kumwimbia mwenzake au yeye mwenyewe pale tu anapoona mambo yamekwenda ndivyo sivyo. Wimbo wenyewe siyo mwingine bali ni shukuru kwa kila jambo. Lakini watu wengi wamekuwa wanautumia ndivyo sivyo huu msemo kwa kushukuru tu mambo mazuri lakini mabaya hapana. Rafiki, binadamu tumekuwa ni watu waliokosa shukrani na …

Kauli Mbaya Ya Kujiambia Kwa Mwanamafanikio Yeyote Yule

Mpendwa msomaji,Mtu aliyekataa tamaa na maisha ni mtu hatari sana. Hana tofauti na mtu anayetembea na dumu la petrol kwani muda wote anaweza akakulipua. Watu ambao unapaswa kukaa nao mbali kabisa ni watu ambao wamekatamaa ya maisha na wale ambao hawajipendi. Kuna wengine mpaka wanaamua kukufuru uumbaji wa Mungu wanasema ni bora wangezaliwa  mbwa ulaya. …

Usikimbizane Na Kitu Hiki Utakuwa Mtumwa

Kuna kipindi huwa ni kipindi cha kujenga maisha yaani kama ni nyumba basi unakuwa unajenga msingi. Vivyo hivyo hata katika maisha yetu kuna muda ni wa kutafuta na kuna muda wa kuvuna au kutumia. Karne hii ya ishirini na moja kumekuwa na uteja, uraibu wa aina nyingi, ukiacha wa mitandao ya kijamii basi kitu kingine …

Hawa Ndiyo Watu Wanaofurahia Maisha Hapa Duniani

Maisha ni furaha na wala siyo kuvumilia. Tumezaliwa kufurahia maisha na siyo kuvumilia maisha. Unaishi mara moja tu hapa duniani kama unashindwa kufurahia sasa usitegemee kama utakua na kipindi cha pili kama vile mpira wa miguu. Rafiki,Kuwa na furaha ni uamuzi wa mtu kuchagua na wala siyo kwenda kununua dukani. Ni kitu ambacho kipo ndani …

Njia Adimu Ya Kuongeza Mahusiano Imara Na Mwenzi Wako Wa Ndoa

Mpendwa rafiki, Huwa nasisitiza sana kusoma vitabu kwani kusoma vitabu kuna faida kubwa kwenye kila eneo la maisha yetu. Hata nikisema nikuandike faida za kusoma Vitabu itakuwa ni litania ndefu yaani orodha ndefu. kitu pekee ambacho ningeweza kukushauri kama hujui faida za kusoma vitabu basi anza kusoma vitabu utaona faida utakazozipata. Kama uko kwenye magrupu …

Kitu Ambacho Hakitokusaidia Kwenye Maisha Yako

Tulipokuwa wadogo tulikuwa tunaamliwa kila kitu katika maisha yetu. Tulikuwa tunafanyiwa maamuzi kadiri ya wazazi  au walezi wetu. Na tulikuwa hatuna ubishi wa kukataa kwa sababu tulikuwa ni wadogo hatuna budi kukubali kwa wakati huo. Wazazi ndiyo chanzo cha maisha yetu hapa duniani. Hakuna mtu hata mmoja aliwahi kuandika barua ya kuomba kuzaliwa je wewe …

Vitu Vyote Vina Ukomo Lakini Hiki Hakina Ukomo

Mpendwa rafiki, Kwenye kitu chochote unachokifanya bado kuna nafasi ya wewe kuwa  bora zaidi ya hapo ulipo. Maisha yetu ni kama sanaa tunaweza kuyapamba kadiri tuwezavyo sisi. Maisha yana ukomo wake, kila mtu ana ukomo wake hapa duniani. Waswahili wanasema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kumbe kila kitu kina mwisho wake. Kama unapitia wakati mgumu …

Kama Huna Furaha Anza Na Kitu Hiki Moja Tu Na Utakua Na Furaha

Habari ya leo mpendwa rafiki? Hongera kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo uliyoipata hakika ni zawadi ya upendeleo na hakuna zawadi kama zawadi ya maisha hapa duniani kwa sababu mipango yetu yote tunayotaka kuikamilisha iko ndani ya zawadi ya maisha. Ukikosa zawadi ya maisha umekosa vyote hivyo kama umestahilishwa kuendelea kuishi basi ishi …

Faida Moja Kubwa Kwanini Mabadiliko Ni Muhimu Kwenye Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki? Ni imani yangu hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana kwa juhudi mbalimbali unazoweka kuhakikisha unapiga hatua kwenda mbele. Ili tuweze kufanikiwa kwenye kitu chochote lazima tufanye mabadiliko ya kweli. Hata kama unataka kuwa vizuri kiakili lazima ufanye mabadiliko kwanza ya akili, kama ulikuwa ni mtu ambaye huna maarifa chanya unayoingiza …

Design a site like this with WordPress.com
Get started