Linapokuja suala la uongozi watu wanaanza kufikiria viongozi wengine badala ya kuanza kujifikiria kwanza yeye kama kiongozi. Kila mtu ni kiongozi hata kama huna unaao waongoza lakini si unajiongoza mwenyewe. Uongozi umetawala kila sehemu ya maisha yetu kuanzia ngazi ya familia mpaka ngazi ya taifa. Kama uko hai huwezi kukwepa kuongoza au kuongozwa kwa sababu …
Continue reading “Huu Ndiyo Uwezo Mkubwa Wa Kila Kiongozi Anaopaswa Kuwa Nao”