Mpendwa rafiki, Kila mtu anapitia mchakato fulani katika maisha yake. Kila mtu anapambana kila siku kupata kile anachokitaka kwenye maisha yake. Maisha yanakosa hamasa kama unakuwa huna kitu unchokitafuta lakini ukiwa na kitu kinachokupa hamasa ni kusukuma kwanini ufanye kila siku, kwanini usiahirishe, usiweke sababu bali matokeo tu. Unatakiwa uwe na kitu ambacho kinakusukuma kila …
Continue reading “Njia Bora Ya Kuona Mchakato Wowote Ni Mrahisi”