Tunatakiwa kuishi kwa karibu kila eneo la maisha yetu, usitegemee chochote katika maisha yako na wala usiweke matumaini kwenye kitu fulani kwa sababu dunia inaamua kufanya vile inavyotaka yenyewe. Kuna vitu ambavyo viko nje kabisa ya uwezo wetu wala hatuwezi kuzuia mabadiliko yanayotokea nje. Tuna uhuru wa mambo yako ndani ya uwezo wetu lakini mengine …
Continue reading “Chukua Tahadhari Katika Maeneo Haya Ya Maisha Yako”