Rafiki, Falsafa ya ustoa inatufundisha mengi , mwanafalsafa Epictetus katika kitabu chake cha hand book of Epictetus ametufundisha kitu kimoja kizuri ambacho mimi na wewe tunaalikwa kujifunza. Ni kawaida binadamu kuwa na wivu, kwa sababu binadamu wengi wanaendeshwa na hisia kuliko akili. Hatupaswi kuwaonea wivu wale waliofanikiwa kwa sababu vile walivyo jua kuna gharama ya …
Continue reading “Kwanini Hupaswi Kumuonea Mtu Wivu Pale Anapopewa Heshima”