Kila mara huwa nakuambia rafiki yangu kuwa hakuna anayekufikiria hivyo kama hakuna anayekufikiria ni bora ukajifiria wewe mwenyewe. Mkurugenzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe na wala siyo mtu mwingine. Acha kumfikiria mtu mwingine ndiyo atakuja kubadili maisha yako kama usipojichukulia hatua wewe mwenyewe. Utabaki kama ulivyo kama usipojichukulia hatua. Maisha huwa ni mwalimu mzuri …
Continue reading “Kwanini Hakuna Anayekufikiria Kwenye Maisha Yako”