Tunapokutana na changamoto huwa tunafikiria kuwa labda ungekuwa unaishi sehemu fulani usingeweza kukutana na changamoto fulani. Kifupi, hakuna sehemu ambayo ni salama au siyo salama. Jinsi unavyoyapokea mambo na kukabiliana nayo ndiyo yanakupa picha. Mtu anaweza kusema, kazi au biashara hii imenichosha hivyo ni bora nibadilishe kwani imekuwa na changamoto kubwa. Hata ukibadilisha kazi au …
Category Archives: Uncategorized
Hiki Ndiyo Kitu Pekee Kinacholeta Ukamilifu Katika Kazi
Asili ya binadamu ni kazi na kazi ni rafiki wa kila binadamu anayependa mafanikio makubwa. Mtu hawezi kupata kile anachotaka bila kuwa na kazi. Kazi inatusaidia kupata kile unachotaka katika maisha yako na siyo vinginevyo. Utu wa mtu ni kazi, ukiwa unafanya kazi na dunia inakuhesimu. Wako watu ambao wanapenda mafanikio lakini hawataki kufanya kazi. …
Continue reading “Hiki Ndiyo Kitu Pekee Kinacholeta Ukamilifu Katika Kazi”
Kama Watu Wanataka Kupiga Hatua…
Kila mtu amepewa utajiri wa akili. Na akili hizi tulizopewa ndiyo zina zalisha watu matajiri na masikini. Duniani hakuna mtu masikini bali kuna akili masikini. Akili ikilala mambo yote yanalala. Tunatofautiana kwa jinsi tunavyofikiria mambo, kila mtu anachukilia jambo kadiri ya uelewa wake. Wako wanaoamini kuwa wamezaliwa kuja kufanya kusudi fulani lakini wako wasioamini hivyo. …
Kama Unataka Kuirekebisha Dunia Anza Na Kitu Hiki
Kama unaona baadhi ya mambo katika jamii yako ni mabaya, na unataka kuyaboresha basi iko njia moja nzuri ya kufanya hivyo. Unatakiwa kuwaboresha au kuwabadilisha watu na ili kuwabadilisha watu unatakiwa kuanza na kitu kimoja. Na kitu hicho ni kuanza kuwa bora wewe mwenyewe.Kama tunataka kuwaona wengine wawe bora anza wewe kuwa bora. Kama unataka …
Continue reading “Kama Unataka Kuirekebisha Dunia Anza Na Kitu Hiki”
Watu Wote Wako Sawa Isipokuwa Sehemu Hii
Iko misemo mengi ambayo inathibitisha kuwa sisi binadamu wote ni sawa. Mungu amempendelea kila binadamu kwa kumpa uwezo mkubwa wa akili. Bill Gate naye aliwahi kusema kuwa kuzaliwa masikini siyo kosa lako, Bali kuchagua kuwa masikini ndiyo kosa lako. Kila mtu amezaliwa akiwa hana kitu, jinsi maisha yetu yalivyo ndivyo tulivyojichagulia kuishi. Juhudi zako ndiyo …
Hili Ndiyo Jaribio La Mtu Mwenye Upendo
Karibu dini zote duniani zinasimamia falsafa ya upendo. Upendo ndiyo amri kuu kwa watu wote, ukiweza kusimama na upendo basi utafanikiwa kwenye mengi. Mambo mengi yanakwenda ndivyo sivyo katika maisha yetu ni kwa sababu ya kukosa kukosa upendo. Laiti kama kila mmoja wetu angekuwa anasimamia na kuishi falsafa ya upendo basi dunia ingekuwa salama kwa …
Huna Mtu Wa Kumlaumu Katika Maisha Yako
Imekuwa ni desturi ya watu wengi katika maisha kuwalaumu wengine kwa kila kitu. Watu wanashindwa kuvaa majukumu yao ya kila siku na wakiona mambo yameenda ndivyo sivyo wanatafuta mtu wa kumlaumu. Kuna mchekeshaji mmoja anasema, Kama ukikosa watu wa kuwalaumu wazazi wako wako pale kwa ajili ya kuwalaumu. Kuliko kuwalaumu watu kwa matokeo yako unayopata …
Jinsi Ya Kufanya Kisichowezekana Kadiri Ya Mt. Fransisco
Kinachoshindikana kwako, kwa mwingine kinawezekana. Watu tumezidiana uwezo, kitu ambacho kwako unakiona ni kigumu kwa mwenzako ni kirahisi. Hakuna kitu kigumu bali ugumu uko kwa mhusika mwenyewe. Kama hesabu watu wanasema ni ngumu lakini mbona kuna watu wanaifaulu vizuri? Hapa ndiyo tunajifunza dhana hii kwamba hakuna kitu kigumu bali ugumu uko kwa mhusika mwenyewe. Unaweza …
Continue reading “Jinsi Ya Kufanya Kisichowezekana Kadiri Ya Mt. Fransisco”
Jinsi Ya Kujitofautisha Na Wafanya biashara Wengine
Kwanini mteja aje kununua kwako na siyo kwa mtu mwingine? Hilo ndiyo swali unalopaswa kujiuliza kwa kila mfanya biashara. Wateja wengi hawanunui kwa sababu ya kukuonea huruma bali wateja wananunua kwa sababu ya shida zao, kuna thamani ambayo wanaitaka kutoka kwako. Ili kujitofautisha na wafanya biashara wengine hakikisha kwanza unakuwa na kitu cha ziada. Unatakiwa …
Continue reading “Jinsi Ya Kujitofautisha Na Wafanya biashara Wengine”
Pale Unapojikuta Njia Panda
Kuna wakati unajikuta njia panda, una mambo mengi ya kufanya halafu hujui ufanye lipi na uanze lipi. Unapojikuta katika hali kama hiyo, siku zote unashauriwa kufanya kile kilicho sahihi kwako kufanya. Kumbe basi, Unapojikuta njia panda na hujui lipi la kufanya wala usipoteze muda wako, bali wewe nenda kafanye kile kilichokuwa sahihi kwako kufanya. Siku …