Bilionea na raisi wa Marekani Donald Trump kwenye moja ya nukuu zake anasema hivi, Kama hutowaambia watu juu ya mafanikio yako basi hakuna atakayejua. Mimi leo nataka nikuambie hivi rafiki yangu, kama hutowaambia watu kile unachofanya au unachouza hakuna atakayejua unafanya nini hivyo ni wajibu wako kuwaambia watu kile unachofanya au unachouza ili upate wateja. …
Continue reading “Haya Ndiyo Matokeo Ya Kutowaambia Watu Kile Unachofanya”