Habari ya leo Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Karibu rafiki yangu katika makala yetu ya leo ambapo leo tutajifunza athari za kutokuwa makini katika shughuli zetu za kila siku tunazofanya. Kuwekuwa na utamaduni wa watu siku hizi kufanya kazi kimazoea ili mradi tu amalize. Utamaduni wa kulalamika unazaa wavivu wengi hatimaye …
Continue reading “Hizi Ndio Athari Za Kutokuwa Makini Katika Kazi Unazofanya Kila Siku”