Ukishindwa kutawala kile ulichonacho utashindwa maeneo mengi ya maisha yako. Itawale nafasi nzuri uliyonayo wewe kama baba, mama au mtoto katika familia yako. Kushindwa kutawala nafasi yako ni dalili ya kushindwa kutimiza wajibu wako. Tawala mawazo yako. Una mawazo mengi mazuri unayopata kila siku lakini unashindwa kuyatawala na kuyaweka kwenye vitendo. Tawala akili yako kwa …
Category Archives: Uncategorized
Ukishindwa Kwenye Kitu Hiki Wewe ni Mzembe
Kuna maeneo ambayo ukishindwa dunia haitakulaumu lakini kuna maeneo ambayo ukishindwa kufanya kile unachopaswa kufanya dunia lazima itakulaumu. Dunia itakulaumu pale wewe utakaposhindwa kwenye kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako. Kwa mfano, kitu chochote ambacho kipo ndani ya uwezo wako ukikishindwa utaonekana ni mzembe. Kuwa na uzito uliopitiliza ni uzembe wa mtu mwenyewe kwa …
Continue reading “Ukishindwa Kwenye Kitu Hiki Wewe ni Mzembe”
Jiwekee Ukomo Kwenye Vitu Hivi
Kwenye vitu ambavyo utajihusisha navyo. Kufanikiwa siyo kufanya kila kitu kama wengi wanavyodhani. Huhitaji kufanya kila kitu ndiyo ufanikiwe, bali unahitaji kufanya machache kwa ubora. Jua ni maeneo gani uko vizuri na weka nguvu zako zote huko ambako uko vizuri na siyo kufanya kila kitu. Mengine achana nayo, wewe weka kazi kwenye yale ambayo yana …
Je, Unatumikaje Katika Familia Yako?
Ni wakati wa kujitathimini wewe mwenyewe. Je, familia yako inanufaikaje na wewe? Unatumika katika familia kama chombo cha kuleta amani au mafarakano? Kama familia yako haifurahii uwepo wako tafadhali, tafakari mwenendo wako na jibadilishe. Tumika kuleta mafanikio katika familia yako na familia yako itakuwa takatifu na inayompendeza Mungu. Tumia uwezo wako ulio nao kuifanya familia …
Bure Ina Gharama, Lipia Bili Zako
Kila unapoambiwa bure jua kuna gharama ambayo huioni kwa macho. Mpaka mtu anakuambia ni bure jua kuna manufaa ambayo yeye anayapata. Pendelea kuwa mtu wa kulipia gharama kwa sababu hakuna kitu cha bure duniani. Kila mtu anatumia rasilimali zake kufanya kitu fulani. Bure pia inatuzia kupata kile tunachotaka. Ukiamua kununua kitu unachopenda nenda kanunue usiyumbishwe …
Hakikisha Unakuwa Na Kitu Hiki Kama Unataka Kupiga Hatua
Aliyekuwa baba wa falsafa, mwanafalsafa Socrates aliwahi kunukuliwa akisema, maisha ambayo hayatathiminiwi ni maisha ambayo hayana maana kuishi. Kumbe basi, kama wewe unaishi halafu hujitathimini huwezi kujua kama unaenda mbele au unarudi nyuma. Kwenye kila kitu unachofanya lazima uwe na kitu cha kujipima. Kama kile ulichopanga kufanya unapata matokeo unayotaka au la. Kama unataka kupiga …
Continue reading “Hakikisha Unakuwa Na Kitu Hiki Kama Unataka Kupiga Hatua”
Utakimbilia Kwa Nani Ukipatwa Na Kitu Hiki?
Pale unapopatwa na changamoto fulani huwa unamkimbilia nani? Mwingine akipata changamoto ya ndoa labda mke au mume anamsumbua, anachofanya anaungana na wanawake au wanaume wengine ambao nao wanachangamoto kama yake. Watu wanafikiri wakipata shida wanatakiwa kuungana na watu wenye shida kama wao hilo ni kosa. Huwezi kutoka kwenye changamoto kwa kutafuta faraja na huruma au …
Continue reading “Utakimbilia Kwa Nani Ukipatwa Na Kitu Hiki?”
Fanya Mambo Haya Muhimu Kama Unataka Kuaminiwa
Kila mmoja wetu ni rasilimali muhimu katika kufanikisha malengo yake na ya mwingine. Kifupi, kila mmoja anamtegemea mwenzake hivyo basi kujitegemea siyo kujitosheleza. Watu huwa wanatujua sisi vizuri kwa sababu ya tabia zetu. Tabia zetu ndiyo zinatupa sisi nafasi ya kuaminiwa katika kitengo fulani. Ukweli ni kwamba, ukitaka kuaminiwa kubeba chakula, onesha sura iliyoshiba; kwa …
Continue reading “Fanya Mambo Haya Muhimu Kama Unataka Kuaminiwa”
Jinsi Ya Kumiliki Machaguo Yako
Watu wengi wanapenda kumiliki mawazo yao, kumiliki kile wanachotaka yaani kifupi watu wanapenda kuongea lugha zao wenyewe. Ndiyo maana nilisukumwa kuandika kitabu cha Ongea Lugha Yako, Sauti yako ya Ndani ndiyo mafanikio yako. Watu wanashindwa kuwa vile wanavyotaka kuwa kwa sababu ya kushindwa kusikiliza sauti zao za ndani na kuongea lugha zao wenyewe. Unakuta mtu …
Jinsi Ya Kulinda Muda Wako
Muda ndiyo mteja namba moja kwa chochote kile unachotaka kufanya kwenye maisha yako. Unapokuwa na muda utaweza kufanikiwa kufanya vitu vingi sana. Zama tunazoishi ni zama za mitandao ya kijamii. Kama usipokuwa makini utajikuta muda wako wote unatumika kuzurura kwenye mitandao ya kijamii kujua nini kinaendelea. Wako wengine wanasema hawataki kupitwa na habari yoyote ile …