Najua kuna watu ambao wameshakuudhi sana kwa sababu ya kukutusi. Muda mwingine unapata hasira kweli, kwanini fulani anitukane na kupelekea hata ugomvi. Katika falsafa ya ustoa, unatakiwa kujiandaa na yote pale unapoianza siku yako asubuhi. Jiandae kabisa utakutana na watu wakorofi, wadhulimishaji, wabishi, waizi nk na ikitokea kama mtu miongoni mwa hao akikufanyia ubaya, utajiambia …
Continue reading “Hiki Ndiyo Kinachokufanya Uumie Pale Mtu Anapokutukana”