Rafiki, Kila mmoja wetu anafanya makosa katika maisha yake. Hakuna ambaye ni mkamilifu na asili ya kila binadamu ni kukosea, tunapokosea ndiyo huwa tunajifunza. Maisha ni kama shule na changamoto tunazo kutana nazo ndiyo mitihani. Kumbe basi, tunapokimbia changamoto maana yake hutaki kwenda darasa lingine bali unataka kubaki darasa hilo hilo yaani kama uko la …
Continue reading “Kwenye Kila Tatizo Unalokutana Nalo Jiulize Swali Hili Hapa”