Sanaa ya Kufanya Maamuzi ya Hekima Katika Maisha

Kufanya maamuzi ya hekima ni mojawapo ya ujuzi muhimu zaidi maishani. Ndiyo tofauti kati ya kusonga mbele na kusimama palepale, kati ya mafanikio na majuto ya kudumu. Kila hatua tunayopiga maishani—iwe ni kwenye kazi, biashara, mahusiano au maendeleo binafsi—ni matokeo ya maamuzi tuliyoyafanya au tuliyoshindwa kuyafanya. Tatizo kubwa siyo kwamba watu hawajui kufanya maamuzi, bali …

Hakuna Kinachotokea Mpaka Mauzo Yafanyike

“Hakuna kinachotokea mpaka mauzo yafanyike.”— Thomas J. Watson Sr., Mwanzilishi wa IBM Kauli hii ni rahisi sana, lakini ndani yake kuna ukweli mzito ambao wafanyabiashara wengi bado hawajaupokea kikamilifu. Watu wengi wanaanguka kwenye mtego wa kuamini kwamba biashara ni wazo zuri, bidhaa bora au mpango mzuri wa masoko. Lakini ukweli usiopingika ni huu: bila mauzo, …

Jinsi ya Kufanya Yasiyowezekana

Mt. Francisco wa Asizi aliwahi kusema maneno yenye uzito mkubwa sana wa maisha:“Fanya kinachowezekana na ghafla utajikuta unafanya yasiyowezekana.”Kauli hii ni fupi, lakini imebeba siri kubwa ya mafanikio, maendeleo na mabadiliko ya maisha ya mwanadamu. Watu wengi huishi wakitishwa na neno yasiyowezekana. Wanatazama ndoto zao, malengo yao, au changamoto zao na kusema, “Hili haliwezekani kwangu.” …

HEKIMA NI KUISHI UNACHOKIJUA, SIO KUKISEMA

Kwenye maisha, watu wengi wamejaa maarifa, lakini wachache sana wana hekima. Tofauti kati ya wawili hawa ni kubwa kuliko inavyoonekana. Hekima ni kufanyia kazi kile unachokijua. Kwa maneno mengine, hekima ni maarifa yaliyoingia kwenye vitendo. Si maneno, si hoja ndefu, bali ni maamuzi sahihi yanayoonekana kwa matendo. Hekima siyo kusema, ni kuonyesha.Si kueleza kinachofaa kufanyika, …

WATU WAWILI AMBAO HUPASWI KUWANUNIA KATIKA MAISHA

Katika maisha ya kila siku, ni jambo la kawaida kupitia changamoto, msongo wa mawazo na migogoro binafsi. Wakati mwingine mizigo hiyo hutufanya tuwe na hasira, kisirani au chuki zisizo na msingi kwa watu waliotuzunguka. Lakini pamoja na yote hayo, kuna watu wawili muhimu sana ambao hupaswi kabisa kuwanunia au kuwachukia, hata kama unapitia kipindi kigumu …

HAKUNA MAISHA YENYE GHARAMA KAMA MAISHA YA KUIGIZA

Kuna ukweli mmoja ambao watu wengi hawataki kuukubali:maisha halisi hayana gharama kubwa, lakini maisha ya kuigiza ni ghali kupita kiasi.Si kwa sababu ya fedha pekee, bali kwa sababu ya nguvu, muda, amani ya moyo na uhuru wa nafsi unaopotea unapojaribu kuwa kitu ambacho wewe siyo. Kuigiza Kunakugharimu Amani Ya Ndani napoishi maisha ya kuigiza, kila …

KEEP THINGS PRIVATE – HAKUNA ANACHOWEZA KUHARIBU AMBACHO HAJAKIJUA

Kwenye maisha, kuna siri moja ambayo watu wengi hawajaielewa: si kila jambo linapaswa kujulikana na watu.Watu wakijua ndoto zako, mipango yako, maumivu yako, au hatua zako kabla ya wakati, wana nafasi ya: Kuzikosoa Kuzikatisha Kuzivuruga Au hata kuzizima kabisaSi kwa sababu ni wabaya—hapana—bali kwa sababu maoni, wivu, presha, na mitazamo yao vinaweza kukutoa kwenye njia …

WATU HUBADILIKA KWA MUDA — NA KUNA SABABU MBILI TU KWA NINI HAWAFANYI MABADILIKO

Mabadiliko ni sehemu ya maisha, lakini ukweli ni kwamba siyo kila mtu yuko tayari kubadilika. Kila siku tunakutana na watu wanaolalamika, wanaosema wanataka kubadilika, lakini hakuna wanachofanya.Kwa nini? Kwa sababu sababu za watu kushindwa kubadilika ni mbili tu. Hawajui Kile Wanachotakiwa Kufanya Wakati mwingine mtu ana nia njema, anatamani kuendelea, anatamani kubadilisha maisha yake, lakini …

MAISHA NI IMANI: LINDA IMANI AMBAYO WATU WAMESHAIJENGA KWAKO

Imani ni moja ya nguzo kuu za mafanikio kwenye maisha, biashara, kazi na mahusiano. Imani ni zaidi ya maneno—ni mtaji, ni thamani, ni heshima, ni mgongo unaokubeba unapokosea, na ni daraja linalokupeleka kwenye fursa ambazo wengine hawazifikii. Lakini jambo kubwa ambalo watu wengi hawalijui ni hili: Imani ni uwekezaji.Na kama uwekezaji mwingine wowote, unaweza kuuongeza …

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA MAWASILIANO (COMMUNICATION SKILLS)

Kwa nini mawasiliano yamekuwa shida kwa watu wengi leo? Kwa sababu msingi wa mawasiliano umevunjika. Watu wanaongea, lakini hawasikilizani. Watu wanatuma ujumbe, lakini hawajishughulishi kujibu. Watu wanapiga simu, lakini hawajali kurudisha. Mawasiliano yamekuwa mfululizo wa vurugu na sintofahamu. Ndiyo maana tunahitaji kurudi kwenye misingi ya mawasiliano bora—kile ambacho kinaboresha mahusiano, heshima, biashara, kazi na maisha …

Design a site like this with WordPress.com
Get started