Rafiki, Unajua nini kuhusu uaminifu na uadilifu? Maana rahisi ya uaminifu ni kusema ukweli na uadilifu ni kuishi ukweli. Watu wengi ni waaminifu lakini siyo waadilifu.Wanaweza kusema vitu vingi kwa kuahidi na kuonesha kwamba wao ni waaminifu lakini ni ngumu watu hao hao walioahidi kwenda kuishi uadilifu. Uadilifu ni kazi. Ni watu wachache sana ambao …
Haya Ndiyo Mafanikio Ya Kweli
Mafanikio ya kweli ni maelewano ya nguzo tano za maisha. Ili kuwa na mafanikio ya kweli kwenye maisha, lazima kuwe na maelewano katika nguzo kuu tano za maisha, ambazo ni fedha, mahusiano, akili, mwili na roho. Maelewano haya yanafanya maisha yaweze kwenda na kwa pamoja ukapiga hatua. Kwa mfano unapokuwa na fedha, huku afya yako …
Sheria Ya Kuishi Maisha Rahisi Na Kukuepusha Na Matatizo
Marcus Aurelius alikuwa mwanafalsafa wa ustoa na mtawala wa Dola ya Roma. Kupitia kitabu chake cha Meditations ametushirikisha mbinu mbalimbali za kuweza kuishi maisha yetu kwa mafanikio. “If it is not right, do not do it, if it is not true, do not say it.” –Katika kauli yake hiyo hapo juu, anatukumbusha umuhimu wa kufanya …
Continue reading "Sheria Ya Kuishi Maisha Rahisi Na Kukuepusha Na Matatizo"
Hasara Utakayopata Baada Ya Kuvunja Misingi
Maisha yetu sisi binadamu ni kuhusu misingi.Kila kitu ni misingi.Na kwenye kila eneo la maisha yetu lina misingi yake ambayo unapaswa kuifuata. Misingi ndiyo mwongozo wa kila mtu ili kufanikiwa kwenye kitu fulani. Unaweza ukaishi kwenye misingi yako na watu wakakuona kwamba umepitwa na wakati.Na unaweza usiishi kwenye misingi ya kitu fulani na ukajiona MJANJA …
Continue reading "Hasara Utakayopata Baada Ya Kuvunja Misingi"
Fanya Kwa Kiasi
Rafiki, Chochote unachofanya kwenye maisha yako, fanya kwa kiasi. Kwa mfano, kukosa maji kutakupelekea kufa, ila pia kunywa maji mengi sana kutakupelekea kufa. Kuwa na msongo wa mawazo uliopitiliza ni hatari, lakini pia kukosa msongo kabisa maisha yanakuwa yanachosha. Mwili wa binadamu mara zote upo kwenye hali ya kubadilika. Kitu chochote unachofanya ni lazima ufanye …
Njia Rahisi Ya Kuanza Biashara
Kwa wale ambao hawajui ni biashara gani wafanye, Wale ambao wanataka kuingia kwenye biashara lakini hawajui waanzie wapi, Na hata kwa wale ambao wanataka kuingia kwenye biashara lakini hawana mtaji wa kuanza biashara, Zipo njia mbili za kuingia kwenye biashara na hata kuanza biashara yoyote. Njia ya kwanza ni kununua halafu kuuza, au hata kutengeneza …
Kamwe Usitosheke
Rafiki, Kwenye maisha yako unapaswa kuwa na falsafa ya kamwe usitosheke. Unapoishi msingi wa kamwe usitosheke, utakua unajisukuma zaidi kwenda mbele na kukataa kurudi nyuma. Kamwe usitosheke, itakusaidia wewe kupata mafanikio makubwa na kuepuka kupata mafanikio ya kawaida.Sisi binadamu ni watu wa kuridhika, huwa tunaridhika na kile tunachopata, huwa hatuweki juhudi zaidi ya kwenda mbele. …
Ukichaa Wa Muda
Rafiki yangu nikupendaye, Hisia zinapokuwa juu, fikra zinakuwa chini. Na fikra zikiwa chini, uwezo wetu wa kufanya maamuzi unakuwa chini. Kila mmoja kuna wakati anakua na ukichaa wa muda. Na ukichaa wa muda ni hasira. Hasira ni ukichaa wa muda, wakati una hasira, fikra zinakuwa chini ndiyo maana inapelekea kufanya maamuzi yasiyofaa. Ndiyo maana unashangaa …
Hakuna Maisha Yenye Gharama Kama Haya
Rafiki, Sisi binadamu tunao uwezo wa kuishi kwa kiasi chochote kile cha pesa tunachopata. Akili yetu huwa inatusukuma kununua manunuzi kulingana na fedha tuliyokuwa nayo. Kama tukiwa na elfu tano, tutaishi kadiri ya elfu tano. Na mara nyingi kadiri unavyokuwa na fedha zaidi, ndiyo na matumizi pia yanaongezeka. Hakuna maisha yenye gharama kama maisha ya …
Tuache Utoto
Rafiki, Sisi binadamu ni watu ambao hatupendi kuchukua hatua mpaka tuambiwe tuchukue hatua ndiyo tunachukua. Tumekuwa ni watu wa kusubiri kwanza tuwepe ruhusa ndiyo tuweze kuchukua hatua.Ulivyokuwa mdogo au unasoma shule, ulikuwa unaongozwa na kufanyiwa maamuzi. Tena ulikuwa unaongozwa na kengele. Unajua kabisa, kengele fulani ikipigwa, inaashiria kitu gani. Hii imetuathiri sana katika maisha yetu, …