Rafiki, Muda tulionao ni mchache sana ukilinganisha na mambo ya kufanya. Lakini, Seneca aliwahi kunukuliwa akisema, tuna muda mwingi mpaka tunautumia katika mambo yasiyo kuwa na maana. Hii ina maana kwamba, mtu hawezi kusema hana muda kufanya jambo lenye maana kwake wakati anao muda wa kufanya mambo yasiyo na maana kwake. Katika zama hizi za …
Continue reading "Jinsi Ya Kuwa Bora Kwenye Zama Za Mambo Mengi"