Mwanamafanikio, Hatuwezi kuondoa hali ya matabaka kwenye jamii zetu. Bado matabaka yataendelea kuwepo. Lakini wewe kama mwanamafanikio, unao uwezo wa kushinda kila aina ya matabaka au ubaguzi na njia sahihi ya kufanya hivyo ni kufanikiwa tu. Watu waliofanikiwa, wanakuwa wanashinda kila aina ya ubaguzi. Wale ambao wanakubagua ukifanikiwa, watataka kuwa kama wewe. Kwa yeyote yule …
Continue reading "Njia Sahihi Ya Kukwepa Kila Aina Ya Ubaguzi"