Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na uandelea vizuri katika kazi zako. Hongera rafiki kwa zawadi ya siku hii nyingine nzuri ya leo, hivyo tunaalikwa kutumia vizuri siku yetu ya leo katika mambo chanya. Mpendwa msomaji,napenda kutumia nafasi hii kukualika tena katika makala …
Msemo Maarufu Unaotumiwa Na Watu Wengi Katika Kujifariji
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu kwahiyo, tunaalikwa kuitumia vema siku hii ya leo kwa wale wote tulioweza kustahilishwa kuiona siku hii ya leo. Mpendwa rafiki, napenda kutumia nafasi hii kukualika tena …
Continue reading "Msemo Maarufu Unaotumiwa Na Watu Wengi Katika Kujifariji"
Mambo Muhimu Unayopaswa Kujifunza Kutoka Katika Kitabu Cha From Poverty To Power
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa umeamka salama siku hii ya leo. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu tunaalikwa kwenda kuthubutu kwenye chochote kile tunachotaka katika maisha yetu ambacho kila siku huwa unakihofia kukifanya. Tumia vizuri muda wako wa leo rafiki katika …
Continue reading "Mambo Muhimu Unayopaswa Kujifunza Kutoka Katika Kitabu Cha From Poverty To Power"
Njia Rahisi Ya Kuepuka Kutafuta Kitu Kwa Muda Mrefu
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu hivyo tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo, lakini pia, tutumie vizuri zawadi yetu tuliyopewa leo. Kama bado hujapata nakala yako ya kitabu …
Continue reading "Njia Rahisi Ya Kuepuka Kutafuta Kitu Kwa Muda Mrefu"
Fahamu Sababu Ambazo Haziwezi Kuzuia Dunia Kuendelea Mbele
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo, kwani leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu kwenda kufanya mambo makubwa na kutarajia kupata matokeo makubwa. …
Continue reading "Fahamu Sababu Ambazo Haziwezi Kuzuia Dunia Kuendelea Mbele"
Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Maana Kuishi Hapa Duniani
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora sana kwetu na ya kipekee kwenda kufanya makubwa na kutegemea kupata makubwa. Kwahiyo, nakusihi tumia muda wako vizuri,nenda kathubutu chochote …
Continue reading "Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Maana Kuishi Hapa Duniani"
Kitu Muhimu Cha Kufanya Kila Siku Kwenye Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri . Natumaini pia ulianza siku yako kwa ushindi na utaitumia vema siku yako yote ya leo katika kufanya mambo chanya na yenye tija. Mpendwa rafiki, napenda kutumia nafasi hii ya leo kukukaribisha katika makala yetu …
Continue reading "Kitu Muhimu Cha Kufanya Kila Siku Kwenye Maisha Yako"
Kitu Muhimu Cha Kuzingatia Katika Uzalishaji Wowote Ule
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeianza siku yako kwa ushindi na unatarajia kupata ushindi kwenye siku yako ya leo. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo, kwani leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu hivyo basi tunaalikwa …
Continue reading "Kitu Muhimu Cha Kuzingatia Katika Uzalishaji Wowote Ule"
Sababu Kubwa Muhimu Kwanini Duniani Hakuna Mtu Maskini
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama kabisa na pole kwa changamoto unazokutana nazo kila siku, tambua ya kwamba changamoto kwa binadamu aliyehai ni kitu cha kawaida hivyo pambana na hali yako bila kukata tamaa na mwisho wa siku utafika. Mpendwa rafiki, napenda kutumia …
Continue reading "Sababu Kubwa Muhimu Kwanini Duniani Hakuna Mtu Maskini"
Mambo Ishirini (20) Usiyoyajua Kwenye Kitabu Cha Young World Rising
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni Matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Mpendwa rafiki, karibu katika makala yetu ya leo ambapo leo tutakwenda kujifunza uchambuzi wa Kitabu. Leo nitakwenda kukushirikisha yale mambo muhimu niliyojifunza kupitia kitabu cha Young world Rising kilichoandikwa na mwandishi Rob Salkowitz Mambo 20 …
Continue reading "Mambo Ishirini (20) Usiyoyajua Kwenye Kitabu Cha Young World Rising"