Muhimu; Kama utaweza Kutawala Kitu Hiki Utakua Umekoa Nafsi Nyingi Za Watu

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea kuboresha maisha yako bila kusahau kugusa na maisha ya watu wengine, leo ni siku bora na ya kipekee kwetu tunakwenda  kufanya makubwa na kutegemea kupata makubwa zaidi. Mpendwa rafiki, tunaalikwa kutumia vema muda wetu wa leo …

Hii Ndiyo Nadharia Ya Mafanikio Yote Unayoyaona Hapa Duniani

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri, leo ni siku bora na ya kipekee sana kwako natumaini umeiazna siku yako kwa hamasa kubwa itakayokuwezesha kutimiza mipango yako uliyojiwekea katika juma hili. Kwahiyo, tunaalikwa kutumia vizuri rasilimali ya muda tuliopewa bure tumia muda …

Uchambuzi; Mambo 20 Ya Kujifunza Kwenye Kitabu Kinachoitwa 15 Secrets Successful People Know about Time Management

Habari ya leo Mpendwa Rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko salama Ndugu, na leo ni siku bora sana kwetu na ya kipekee hivyo tunaalikwa kushukuru kwa zawadi ya siku hii ya leo. Ndugu msomaji, leo nitakwenda kukushirikisha uchambuzi wa Kitabu yale muhimu niliyoweza kujifunza kati ya mengi. Karibu katika uchambuzi wetu …

Jambo Muhimu sana La Kujifunza Kutoka Katika Falsafa Ya Ustoa

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama rafiki yangu. Hongera kwa zawadi ya siku hii ya leo mpendwa msomaji ambapo leo ni siku bora sana kwako na ya kipekee hivyo tegemea kufanya makubwa na kupata makubwa. Shukuru kwa zawadi ya uhai na utendee haki …

Jinsi Ya Kushinda Hofu Na Kutumia Uwezo Wako Kuteka Mafanikio Unayoyataka

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri kutimiza kusudi lako hapa duniani. Leo ni siku bora na ya kipekee kwetu kwenda kufanya makubwa na kutegemea kupata makubwa. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo hivyo tunaalikwa sote kutumia …

Yafahamu Maneno Mawili (02) Yanayoongeza Thamani Katika Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo kwahiyo, tunaalikwa kutumia vizuri siku yetu ya leo. Jali siku yako na jali muda wako usikubali kupoteza siku bure bila kufanya kitu chenye maana. Mpendwa …

Muhimu; Usikubali Kuingiza Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri kupambana hatimaye kupata kile unachokitaka. Katika maisha ni ngumu sana kukwepa changamoto sehemu yoyote ile, chochote unachofanya lazima utakutana na changamoto hivyo jiandae kukabiliana nazo. Mpendwa msomaji, leo ni siku bora na ya kipekee kwetu …

Mambo Ishirini (20) Unayoweza Kujifunza Kutoka Katika Kitabu Cha Handbook For High Consciousness

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama. Karibu tena katika kona yetu ya kujifunza kila siku. Leo nitakwenda kukushirikisha uchambuzi wa Kitabu yale muhimu niliyojifunza. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha Handbook for high consciousness kilichoandikwa na mwandishi Ken Keyes ni kama ifuatavyo; 1. …

Fahamu Chanzo Kikuu Cha Mafanikio Kwenye Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na umeianza siku yako kwa imani chanya itakayokuwezesha kufika pale unapotaka. Rafiki, mambo mengi tunayofanya yanahitaji sana imani ili uweze kufanikiwa kama kazi unayofanya sasa huna imani nayo ni ngumu kufanikiwa na kufika pale unapotaka. Imani ni …

Hii Ndiyo Kazi Ngumu Kuliko Kazi Zote Duniani

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko buheri wa afya rafiki yangu, na umeinza siku hii ya leo kwa hamasa kubwa ya kwenda kufanya mambo makubwa na kutegemea kupata matokeo makubwa. Ndugu rafiki, leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu hivyo tunaalikwa kushukuru …

Design a site like this with WordPress.com
Get started