Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa hujambo na umeamka salama tena siku hii ya leo. Leo ni siku bora na ya kipkee sana kwetu kwenda kufanya yale tuliyotazamia kufanya. Tunaalikwa kutumia vizuri muda wetu ili tuweze kupata kile tunachokitaka. Ndugu mpendwa, karibu sana katika makala …
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Seven Principal For Making Marriage Work
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? ni matumaini yangu kuwa hujambo na unendelea vizuri. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kufanya yale tuliyokusudia kufanya leo. Ndugu mpendwa, nipende kukualika tena katika makala yetu ya …
Continue reading "Uchambuzi Wa Kitabu Cha Seven Principal For Making Marriage Work"
Uchaguzi Muhimu Wa Kufanya Kila Siku Katika Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na buheri wa afya. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo hivyo basi, tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa kuweza kutustahilisha tena siku hii ya leo. Leo unaweza kuchagua siku yako iwe na furaha au isiwe kwani …
Continue reading "Uchaguzi Muhimu Wa Kufanya Kila Siku Katika Maisha Yako"
Hii Ndiyo Kazi Unayopaswa Kuigundua Wewe Kama Mwanadamu
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri katika maisha yako. Leo ni siku nyingine bora na ya kipekee sana kwetu na hongera sana rafiki yangu kwa zawadi ya siku hii ya leo. Kumbuka kutumia vizuri siku yako ya leo ili uweze kupata …
Continue reading "Hii Ndiyo Kazi Unayopaswa Kuigundua Wewe Kama Mwanadamu"
Ujumbe Muhimu Kwako Kutoka Kwa Mt. Augustino
Habari ya leo mpenzi msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kutekeleza yale tunayotazamia kuyafanya leo. Rafiki, ili tuweze kufanya yote haya yanahitaji matumizi mazuri ya muda kwani hakuna …
Continue reading "Ujumbe Muhimu Kwako Kutoka Kwa Mt. Augustino"
Kwanini Maovu Yanateka Hisia Za Watu Wengi Kuliko Mazuri
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku nyingine bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kutekeleza yale tuliyotazamia. Rafiki, napenda kukualika tena katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza …
Continue reading "Kwanini Maovu Yanateka Hisia Za Watu Wengi Kuliko Mazuri"
Mambo Muhimu Ya Kufanya Ili kuifanya Wiki Yako Kuwa Ya Mfano
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeamka salama kuinza wiki yako vizuri kwa hamasa kubwa ya kwenda kupata ushindi. Kwanza kabisa, kama umeamka salama basi mshukuru Mungu kwani huo ndiyo ushindi wa kwanza na yale mambo yote unayotazamia kuyafanya utaweza kuyakamilisha kama uko …
Continue reading "Mambo Muhimu Ya Kufanya Ili kuifanya Wiki Yako Kuwa Ya Mfano"
Hiki Ndicho Kikwazo Cha Watu Wengi Kushindwa Kufikia Mafanikio
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessydeo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaedelea vizuri. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku nyingine mpya,bora na ya kipekee kwetu. Hivyo basi, tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa kutustahilisha tena leo kuvuta pumzi yake, kwahiyo, rafiki inabaki kuwa …
Continue reading "Hiki Ndicho Kikwazo Cha Watu Wengi Kushindwa Kufikia Mafanikio"
Mambo Muhimu Ya Kujifunza Kutoka Katika kitabu Cha The Gifts of Imperfection
Habari ya leo mpendwa Rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? ni imani yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Chagua kupata ushindi siku hii ya leo kwa kutumia muda wako vizuri kuhakikisha unapata kile unachokitaka. Ndugu mpendwa, karibu tena katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza wote kwa pamoja kile nilichokuandalia siku hii …
Continue reading "Mambo Muhimu Ya Kujifunza Kutoka Katika kitabu Cha The Gifts of Imperfection"
Kanuni Bora Ya Dhahabu Itakayofanya Maisha Yako Kuwa Na Mafaniko Makubwa
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kufanya makubwa na kutarajia kupata matokeo makubwa. Ni kwa nidhamu, uadilifu ,kujituma, kubuni, na bila …
Continue reading "Kanuni Bora Ya Dhahabu Itakayofanya Maisha Yako Kuwa Na Mafaniko Makubwa"