Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu unaendelea vizuri, huwa kila jumamosi mara nyingi huwa nakuwa nakushirikisha uchambuzi wa kitabu ila kwa sasa nimebadili mfumo na makala za uchambuzi huwa zinapatikana katika kundi la Mimi ni mshindi kwa wakati ila sitoacha kukushirikisha uchambuzi wa kitabu kabisa lakini …
Continue reading "Maajabu; Maisha Yenyewe Yanahitaji Mtu Mwenye Kitu Hiki"