Siku zote mtu akifanya jambo wakati akiwa katika hisia yoyote lazima aje kujuta baadaye. Hakuna hisia ambayo inaweza ikamwacha mtu salama. Hisia zinaweza kuwa hasira, furaha na kadhalika. Kupitia hisia amekuwa ni adui mkubwa wa fikra za binadamu. Kuna maadui ambao wanawazuia watu kufikiri kwa kina katika mambo yao. Adui moja wapo mkubwa ni hisia, …
Continue reading "Haya Ndiyo Matokeo Yakufanya Maamuzi Wakati Akili Ikiwa Imetaharuki"