Kila Kitu Unachokifanya Unatakiwa Kukifanya Kwa Namna Hii

Kila kitu unachokifanya unatakiwa kukifanya kwa umakini sana. kwa sababu kuna gharama za kutokuwa makini na kitu unachokifanya. Usipokuwa makini utakua ni mtu wa kulipa gharama kila siku tena utakua unalipa kwa riba kubwa. Rafiki, unapokuwa unafanya kitu chochote hakikisha unakuwa akili na mwili wako unakuwa pale kwa muda huo. Mara ya kuwa sehemu kimwili …

Rasilimali mbili muhimu Zenye Mafanikio Makubwa Kwa Kila Mtu

Unaendeleaje rafiki? Tuna mitaji mikubwa sana katika maisha yetu kadiri ya rasilimali tulizopewa bure na Mungu. Ziko rasilimali nyingi ambazo ukizitumia vizuri utaweza kupata fedha vizuri na kufanya maendeleo makubwa na kugusa maisha ya watu wengine. Kuna rasilimali mbili muhimu kwa kila mtu zinazoweza kumletea mafanikio katika maisha yake na hata ya wengine. Ni rasilimali …

Hii Ndiyo Njia Rahisi Kabisa Ya Kuwa Tajiri

Habari  ya leo mpendwa rafiki ? Kila mtu anajua kuwa fedha ni muhimu katika maisha yetu na hilo halina ubishi wala halihitaji swali. Kama fedha ni muhimu katika maisha yetu tunatakiwa tupambane tuupate utajiri kwa sababu hakuna faida yoyote ambayo mtu anaipata kama kuwa masikini. Ziko nyingi ambazo watu wanatumia ili kufikia katika utajiri. Wengine …

Kama Unataka Kufanikiwa Kwenye Mipango Yako Nunua Vitu Hivi Viwili

Habari mpendwa rafiki? Hongera sana kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo. Leo ni siku bora sana kwako kufanya kile ulichopangilia kufanya leo. Hakuna kitu kigumu kama nidhamu kwa sababu kama kungekuwa na nidhamu yoyote ya hali ya juu tusingeweza kuishi maisha ya ajabu kwani mambo yanakwenda ndivyo sivyo kwa sababu ya kukosa nidhamu. …

Watu Wanakazana Kuibadilisha Dunia Lakini Wanasahau Kubadilisha Kitu Hiki Muhimu Kwenye Maisha Yao

Habari mpendwa rafiki? Hongera sana kwa siku hii nyingine bora ya leo. Kila mmoja wetu anapenda kuwa na maisha bora. Kila mmoja wetu anapambana kila siku ili kufikia nafasi nzuri ya juu na kadiri unavyokwenda juu katika safari ya mafanikio ndivyo unavyozidi kupumua vizuri kwa sababu kila hatua unayopiga unaenda kuvuta pumzi nzuri zaidi. Ni …

Hii Ndiyo Aibu Ya Wote Katika Familia Yako

Unaendeleaje rafiki yangu? Hongera kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo hivyo basi, leo ni siku bora na ya kipekee sana kwako. Mwalimu wa kwanza katika malezi ya mtoto ni wazazi. Wazazi ndiyo wamepewa jukumu hilo la kuhakikisha watoto wanalelewa vizuri. Kadiri ya siku zinavyokwenda jukumu la kulea watoto limeshakuwa ni wasaidizi wa kazi …

Jambo Muhimu La Kuzingatia Kama Unapenda Kupata Ushindi Kila Siku

Mpendwa Rafiki, Mara nyingi huwa tunapenda kushinda na ni vizuri kweli mtu kujiandaa kushinda kuliko kushindwa. Lakini tunapaswa kuelewa kuwa maisha yako kama  mchezo wa mpira wa miguu. Kuna wakati mwingine unaweza kushinda na wakati mwingine usishinde na unaweza ukapata matokeo ya bila bila kabisa muda mwingine yaani hujashinda wala hujashindwa. Kwahiyo, unapojikuta katika hali …

Hakuna Kitu Kigumu Kufanya Kama Hiki Kwenye Maisha Yako

Hakuna kitu kigumu kama kumbadilisha mtu tabia. Watu wanataka kuishi kama vile walivyo hata kama unaona kitu fulani ni cha msaada kwao bado watakuona wewe unajisumbua kwa kile unachotaka kufanya. Watu wamezaliwa na tabia zao ambazo zina zaidi ya miaka ishirini leo hii uje umbadilishe mtu ni ngumu sana. Hata umwamasishe mtu kiasi gani juu …

Mfahamu Mkulima Wa Ajabu Katika Karne Ya 21

Mpendwa rafiki, Huwa tunafahamu kuwa ili mkulima aendelee kulima na kupata mazao yake anatakiwa asifanye kosa moja kwani akifanya kosa hilo hatoweza kuendelea na ukulima wake. Kuna kitu kimoja tunaalikwa kujifunza kupitia mkulima. Mkulima wa ajabu ni shule anayevuna mazao yake na kula yote bila kuweka mbegu pembeni. Hivyo kama mkulima amekula mbegu maana yake …

Jinsi Ya Kukabiliana Na Madeni Katika Biashara Na Huduma Nyingine

Habari ya leo rafiki? Hongera kwa zawadi ya maisha ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora nay a kipekee sana kwako. Ni siku mpya ya wiki ukiwa na ngvu za kwenda kufanya makubwa ndani ya wiki hii na siku ya leo. Rafiki, huwa umeshawahi kusikia msemo mmoja unaosema kukopa harusi kulipa matanga. …

Design a site like this with WordPress.com
Get started