Kila kitu unachokifanya unatakiwa kukifanya kwa umakini sana. kwa sababu kuna gharama za kutokuwa makini na kitu unachokifanya. Usipokuwa makini utakua ni mtu wa kulipa gharama kila siku tena utakua unalipa kwa riba kubwa. Rafiki, unapokuwa unafanya kitu chochote hakikisha unakuwa akili na mwili wako unakuwa pale kwa muda huo. Mara ya kuwa sehemu kimwili …
Continue reading "Kila Kitu Unachokifanya Unatakiwa Kukifanya Kwa Namna Hii"