Mpendwa rafiki, Kama unaona hukosolewi katika kitu chochote unachofanya basi kuna weza kuwa na haya, huenda hicho unachofanya ni cha kawaida sana. watu wanaona ni cha kawaida ndiyo maana hawakuambii chochote. Lakini kama unafanya kitu tofauti lazima wataongea na wata kukosoa hivyo ukiona unafanya kitu na watu hawakukosoi jua kabisa unafanya kitu cha kawaida sana …
Kwanini Watu Wanapenda Sana Giza Kuliko Nuru?
Matendo ya maisha yetu yana ishara mbalimbali kama ni matendo mazuri au mabaya. Watu wengi wanapenda sana giza je ni kwa sababu gani watu wengi wanapenda sana giza kuliko mwanga?. Mara nyingi watu wanapenda matendo yao yasijulikane na watu hii ni kwa sababu wengi hawapendi kuonesha maovu yao hadharani na giza huwa lina ficha mengi …
Continue reading "Kwanini Watu Wanapenda Sana Giza Kuliko Nuru?"
Fahamu Kofia Muhimu Unazopaswa Kuvaa Katika Maisha Yako
Unavaa kofia ngapi? Una vaa kofia gani? Kiasili kila mtu ni kiongozi. Hata kama wewe huwaongozi wengine lakini unajiongoza mwenyewe katika maisha yako. kama ukiweza kujiongoza mwenyewe basi una sifa za kuweka kuwaongoza wengine. changamoto kubwa leo ni watu kutovaa kofia zao vizuri za uongozi. Rafiki, katika hali ya kawaida kila mtu unayemwona amevaa kofia …
Continue reading "Fahamu Kofia Muhimu Unazopaswa Kuvaa Katika Maisha Yako"
Njia Rahisi Ya Kujijua Kama Bado Hauna Uhuru Wa Kifedha
Fedha ni muhimu katika maisha yetu hilo halina ubishi. Karibu kila kitu katika maisha kinaendeshwa na fedha. Anayesema fedha siyo muhimu huyo ndiyo yule ambaye analala anafikiria kesho atapata wapi hela ya kula. Ukiwa huna hela ukapata hela basi utakua na furaha na hapo ndipo utaweza kujua kama watu wengi wameweka furaha zao katika pesa. …
Continue reading "Njia Rahisi Ya Kujijua Kama Bado Hauna Uhuru Wa Kifedha"
Ukifanyia Kazi Kitu Hiki Kamwe Huwezi Kubaki Kama Ulivyo.
Mpendwa rafiki, hongera sana kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo. Leo siku bora sana kwako hivyo ichukulie ni yako ya kipekee sana kwani ndiyo unauhakika nayo. Mpendwa rafiki, nakualika tuweze kusafiri pamoja katika makala yetu ya siku hii ya leo ili tuweze kujifunza wote kwa pamoja. Kumbuka rafiki kujiunga na mtandao wetu kwa …
Continue reading "Ukifanyia Kazi Kitu Hiki Kamwe Huwezi Kubaki Kama Ulivyo."
Jinsi Ya Kujidharau Wewe Mwenyewe
Mpendwa rafiki, Huwa tunajiwekea utaratibu au ratiba ya kuifuata ndani ya siku husika. Pengine unakuwa na mambo ambayo umeyapanga kuyatekeleza lakini cha ajabu mambo unapanga mwenyewe lakini huyatekelezi. Unapokuwa unapanga kitu halafu unashindwa kukitekeleza bila sababu ya msingi huko ni kujidharau mwenyewe. Kama unashindwa kusimamia mambo yako unayopanga mwenyewe na kuyatekeleza utawezaje kusimamia ya wengine …
Thubutu Na Futa Nadharia Hii Kwenye Akili Yako
Tukisema tuanze kumtafuta adui mkubwa wa maisha yetu jibu la haraka ni sisi wewe wenyewe. Tumekuwa ni watu wa kujikwamisha kweli sisi wenyewe, watu wanakuwa na hamasa kweli lakini wakifikiria kuanza na ile picha ya hofu waliyojijengea akilini utakuta moja kwa moja wanashindwa kuanza. Ziko hofu nyingi sana ambazo zinawasumbua watu kutochukua hatua, kuna wengine …
Continue reading "Thubutu Na Futa Nadharia Hii Kwenye Akili Yako"
Kwanini Hupati Matokeo Unayoyataka Kwenye Kile Unachofanya?
Mpendwa rafiki, Watu wengi hawapati kile wanachokitaka katika maisha yako ni kwanini? Kwa mfano, mtu anawaza mafanikio makubwa badala ya kuwaza kufanya kazi. Bila kazi utawezaje kupata mafanikio unayoyataka? Mtu yeyote anayetaka mafanikio lazima akubali kufanya kazi hilo halina ubishi, hata ukeshe ukiomba ili upate mafanikio lakini kama hakuna juhudi yoyote unayoweka lazima tu utashindwa. …
Continue reading "Kwanini Hupati Matokeo Unayoyataka Kwenye Kile Unachofanya?"
Jinsi Ya Kupata Madeni Mbalimbali Kwenye Maisha Yako
Huwa tunajitengenezea sisi wenyewe madeni. Hakuna mtu aliyeamka anadaiwa milioni moja bali alianza kidogo kidogo mpaka ikafikia hicho kiwango kikubwa. Huwa tunapokopa tunafurahia lakini wakati wakulipa tunajihisi uchungu sana na mpaka muda mwingine tunasema kwanini nilikopa kwa ile adha ambayo mtu anakuwa anaipata. Licha ya kuwa na madeni ya kifedha lakini pia tuna madeni mbalimbali …
Continue reading "Jinsi Ya Kupata Madeni Mbalimbali Kwenye Maisha Yako"
Amini Katika Hili Hata Kama Hakuna Anayekusapoti
Habari gani mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Hongera sana kwa siku hii nyingine bora ya leo na nenda kaitumie vizuri rafiki yangu. Nikualike katika makala yetu ya leo ili tuendele kujifunza rafiki. Aliyekuwa mtawala wa roma na mwanafalsafa wa falsafa ya ustoa Marcus Aurelius aliwahi kusema kuwa sisi tunajipenda wenyewe kweli …
Continue reading "Amini Katika Hili Hata Kama Hakuna Anayekusapoti"