Mambo Matatu (03) Yakufanya Pale Unapojikuta Njia Panda Hujui Nini Cha Kufanya.

Huwa muda mwingine tunakuwa na maswali mengi ya kujiuliza nitaanzia wapi? Tunabakia njia panda huku tukiwa hatujui hata tufanye nini. Wengine wanakuambia sina cha kufanya ndiyo maana nimebakia njia panda au wengine watakuambia hawezi kufanya kitu. sababu ni nyingi kweli ambazo watu huwa wanazitafuta  kwanini hawezi badala ya kwanini wanaweza. Arthur Ashe aliwahi kunukuliwa akisema …

Kama Unataka Mafanikio Ya Haraka Basi Soma Hapa

Pale tunapowaangalia wenzetu ambao tayari wamefikia hatua ya juu basi na sisi tunaanza kujiona kama vile tumechelewa na hatuwezi kufika kule tunakotaka kufika. Tunaanza kutaka sasa mafanikio ya haraka na tunakaribisha tamaa za kila aina tunakuwa na njaa na sisi ya kutaka vile ambavyo wenzetu tayari wameshavipata kwa muda mfupi sana. Mafanikio ya haraka kwa …

Kila Mtu Ana Maisha Bora Kama Akiishi Hivi…

Tumekuwa ni watu wakuyakimbia maisha yetu. Tunayaona maisha yetu hayana maana na wala hatuoni hata hatua ndogo au kubwa tunazopiga. Na kipo kitu ambacho kinafanya maisha yako yawe hayana maana kuendelea kuishi. Maisha yetu yamekuwa yana utupu,tena katika zama hizi za taarifa ndiyo kabisa kila siku watu wanaendela kuyachukia maisha yao badala ya kuyafurahia. Hakuna …

Kama Unajua Misingi Hii Ya Fedha Dunia Haiwezi Kukusumbua

Kila mtu anajua kuwa fedha ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku hilo halina ubishi. Haihitaji hata wadhamini au wahisani kutoka nchi za nje kuja kukuthibitishia kama fedha ni muhimu au la. Fedha ni jawabu la mambo yote kama mhubiri anavyosema. Kila kukicha wanaibuka watu wanaotangaza namna rahisi ya kupata fedha, wengine wanasema …

Jinsi Ya Kujiua Wewe Mwenyewe

Maisha ya watu yamekuwa hayana furaha badala yake ni huzuni. Watu wanaishi ili siku ziende lakini ile ladha ya maisha ndani yao hakuna. Wengi wana utupu ndani yao kwa sababu wengine hawajawahi hata kuishi maisha yao. Huenda mpaka leo wanaishi maisha ya mtu mwingine, utawezaje kuona ladha ya maisha na kuyafurahia maisha yako kama unaishi …

Kwanini Wewe Ni Sababu Ya Mafanikio Ya Dunia

Bado watu wengi wanaishi lakini hawajioni kama hata wana thamani yoyote ile hapa duniani. Wengine wameshakata tamaa ya maisha wanasubiria tu siku zao za kuishi zikamilike. Watu wamekuwa ni wataalamu wa kulalamika huku wakitafuta mtu wa kumsingizia kwanini yuko hivyo. Ukienda kumuuliza mtu aliyekosa tumaini la maisha ataanza kukushia orodha ya watu waliomfanya we hivyo …

Kazi Yoyote Unayofanya Unamfanyia Mtu Huyu Hapa

Katika kazi zetu tunazofanya kila mmoja anajijua yuko vizuri katika kitu gani. Wengine wanajua kabisa kazi yoyote inayopita katika mikono yao basi wanahakikisha wanatengeneza jina na kuacha alama kupitia kazi hiyo. Kuna wengine wanafanya kazi ili mradi tu wamalize au wapate hela. Kufanya kazi tu upate hela ni utumwa fanya kazi kwa kuipenda na kutoa …

Huu Ndiyo Msemo Unaokurudisha Nyuma

Kuna siku moja nilikuwa naongea na rafiki zangu sasa katika yale mazungumzo mmoja wa rafiki akasema kweli sisi watanzania hatujali muda hii ni baada ya kupata fundisho kutoka kwa mtu aliyewekeana miadi ya kukutana  muda fulani na mtu huyo hakuweza kufika kwa muda muafaka. Akaangaza kutolea mfano wa anaofanya nao kazi ni jamii ya watu …

Kama Wote Tungekuwa Tunathubutu Wakati Huu….

Kuishi na kuendelea kufanya kila siku yale tunayoyapenda bila kuacha hata siku moja inahitaji uwe na nishati moja itakayokusaidia ambayo nidhamu. Nidhamu ndiyo inayotufanya tofautiane na watu wengine katika maeneo mengi sana. Tunamwitaji ndhamu kwenye kila eneo la maisha yetu, bila nidhamu maisha yetu yanakuwa ya hovyo kwa sababu watu watafanya mambo vile wanavyojisikia na …

Kozi Pekee Ambayo Huwezi Kwenda Kusomea

Mpendwa rafiki, Ni kawaida yetu kwenda shule kusomea mambo kozi mbalimbali. kumekuwa na kozi nyingi sana siku katika vyuo vyetu lakini kuna kozi moja ambayo haifundishwi kwenye vyuo vyetu. Hata ukisoma elimu zote unazojua wewe hapa duniani lakini hiyo kozi huwezi kuikwepa kuisoma kwa vitendo na siyo kwa nadharia. Je hiyo ni kozi gani ambayo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started