Huwa muda mwingine tunakuwa na maswali mengi ya kujiuliza nitaanzia wapi? Tunabakia njia panda huku tukiwa hatujui hata tufanye nini. Wengine wanakuambia sina cha kufanya ndiyo maana nimebakia njia panda au wengine watakuambia hawezi kufanya kitu. sababu ni nyingi kweli ambazo watu huwa wanazitafuta kwanini hawezi badala ya kwanini wanaweza. Arthur Ashe aliwahi kunukuliwa akisema …
Continue reading "Mambo Matatu (03) Yakufanya Pale Unapojikuta Njia Panda Hujui Nini Cha Kufanya."