Jamii yetu haijambo kwa mitazamo hasi au imani potofu yaani iko vizuri kweli. Jamii yetu bado inaamini katika nguvu za kishirikina lakini kwa wenzetu wa nchi zilizoendelea walishasahau haya mambo lakini sisi tupo wote katika karne ya 21 bado tunaongelea imani kama hizo wakati wenzetu wanaongelea makubwa ya kimaendeleo. Najua umeshawahi kusikia katika jamii yako …
Continue reading "Jinsi Unavyochukuliwa Msukule Bila Ya Wewe Mwenyewe Kujijua"