Jinsi Unavyochukuliwa Msukule Bila Ya Wewe Mwenyewe Kujijua

Jamii yetu haijambo kwa mitazamo hasi au imani potofu yaani iko vizuri kweli. Jamii yetu bado inaamini katika nguvu za kishirikina lakini kwa wenzetu wa nchi zilizoendelea walishasahau haya mambo lakini sisi tupo wote katika karne ya 21 bado tunaongelea imani kama hizo wakati wenzetu wanaongelea makubwa ya kimaendeleo. Najua umeshawahi kusikia katika jamii yako …

Mbinu Ya Kujihamasisha Wewe Mwenyewe

Maisha yetu yanahitaji hamasa kila siku na siyo kwamba labda hatujui ila kila binadamu anaudhaifu wake hivyo hamasa inatumika kuwasha moto katika nafsi zetu na kufanya mambo makubwa zaidi. Kama kila siku tunashauriwa umuhimu wa afya na kila mtu anajua lakini mbona watu hawabadiliki? Tunashauriwa umuhimu wa kuwa na nidhamu binafsi katika maisha yetu lakini …

Iko Siku Nacho Utakikosa Na Hiki Hapa

Katika maisha tunatakiwa kujiandaa na mengi kwa sababu muda mwingine mambo yanakuja na changamoto zake ndani yake. Hakuna anayeamka na kujua leo atakutana na changamoto gani katika maisha yake hivyo wote tunapokuwa tunaamka asubuhi tunakuwa tunajiandaa na siku yetu kwa ushindi lakini muda mwingine mambo yanakwenda ndivyo sivyo licha ya kujiandaa vizuri. Tunatakiwa kujiandaa kisaikolojia …

Hatua Ya Kwanza Unayopaswa Kufanya Katika Mambo Yako Yote

Kuchukua hatua ya kwanza ni kama kuondoa laana lakini kuna ngumu nyingine ambayo tunayo lakini tusipoisema ndiyo inakuwa imeshikilia nguvu yetu. Hivyo tukikosa hiyo nguvu tunakuwa tumekosa kufanikisha mambo yetu mengi, kila mmoja wetu ana nguvu ndani hivyo tukiitumia hiyo nguvu huwa inatusaidia kuondoa kila aina ya hofu. Tukiwa  na nguvu inatupa uwezo wa kujiamini …

Badilisha Gia Na Weka Gia Namba Moja Kwenye Awamu Hii Ya Pili Ya Mwaka

Rafiki, hongera kwa zawadi ya miezi ya sita kuendelea kua hai na heri ya mwezi juni. Salamu nyingi rafiki zikufikie hapo ulipo lakini pia nikutakie kila la heri katika awamu hii ya pili ya mwaka huu. Rafiki, huenda mwaka huu ulipoanza uliuanza kwa gia namba nne, na kama tunavyojua kwa wale madereva ukianza kuendesha gari …

Kabla Ya Kuingia Katika Maisha Ya Ndoa Jiandae Kisaikolojia Kukutana Na Kitu Hiki

Siyo kila mtu ameitwa katika maisha ya ndoa hivyo kama unajiona hutoweza kufiti ni bora ubaki katika maisha ya useja nao ni wito kama wito mwingine lakini sharti uwe mwaminifu siyo unajifanya huishi katika maisha ya ndoa lakini una bingwa wa maisha ya uzinifu. Ukiamua kuwa mtu fulani ishi uadilifu wako. Usiingie katika maisha ya …

Ukitaka Kufanikiwa Acha Tabia Hii

Tumekuwa ni watu wa kujali sana miili yetu kuliko hata ndoto tulizonazo. Tunakubali kuendeshwa na miili yetu badala ya sisi kuiendesha miili yetu. Muda mwingine tunachelewa hata katika maeneo muhimu ya kazi kwa sababu ya kuuti mwili kitandani. Usingizi unawatawala watu kiasi kwamba hata ndoto zao walizokuwa nazo wanaziona hazina maana. Hatuwezi kupiga hatua kama …

Ifahamu Fedha Ambayo Huruhusiwi Kuitumia

Fedha huwa haihitaji unafiki kama unaipenda nayo itakupenda  kama ukifuata masharti yake. Mwanafunzi yeyote anayesoma kama hapendi somo analosoma ni rahisi kufeli kuliko hata yule mtu anayelipenda. Jaribu kuangalia na kuvuta picha tu wewe mwenyewe ulivyokuwa unasoma somo ulilokuwa unalipenda na lazima mwalimu wake ulikuwa unampenda na ulikuwa unaliwekea juhudi kweli kulisoma na lilikuwa halikuangushi …

Changamoto Tatu Zinazoikabili Dunia Ya Leo

Unapozungumzia maisha basi huwezi kuacha kuepuka kuutumia au kukutana na msamiati wa changamoto, sijawahi kuona maisha ambayo hayana changamoto na wewe ukiona huna changamoto basi unafanya kitu cha kawaida sana au hujaribu kwenda hatua za ziada katika maisha yako. Lakini zipo zile changamoto ambazo ni chanya zinatupa hamasa ya sisi kusonga mbele lakini zipo zile …

Sababu Zinazopelekea Mtoto Kufanya Vibaya Shuleni Na Nyumbani

Yuko mtoto mmoja  ambaye alikuwa hafanyi vizuri shuleni na akipewa kazi za shule analia tu. Akiwa nyumbani anapenda kujifungia chumbani. Wazazi wake wakaamua kumpeleka mtoto wao kwa mwanasaikolojia ili awashauri mtoto ana matatizo gani. kila mzazi alipata nafasi ya kuhojiwa na mwanasaikolijia kuelezea tatizo la mtoto na mtoto naye alipata nafasi ya kujielezea kwa mwanasaikolojia. …

Design a site like this with WordPress.com
Get started