Mpendwa rafiki, Maisha yenyewe ni changamoto tayari halafu nawashangaa watu wanaogopa changamoto za maisha. Kuwa hai pia ni hatari kwa sababu kama ni changamoto zitaendelea kuja kwako kama kawaida. Kutoka kwako tu nyumbani na kwenda kazini unaweza kukutana na changamoto nyingi njiani, ukiangalia katika mtazamo chanya changamoto huwa zinatuimarisha na kutuoa sehemu moja kwenda nyingine. …
Continue reading "Sehemu Pekee Ambayo Haina Changamoto Duniani"