Ni kawaida ya sisi binadamu kuchukulia poa vile tulivyonavyo. Huwa hatuangalii faida tunayoipata kwa vile ambavyo tunavyo na kuona umuhimu wake na kuvithamini. Ni mpaka pale tutakapovipoteza ndiyo tunaona umuhimu wake. Jifunze kuthamini wale ambao uko nao wanaokusaidia kukamilisha ndoto zako. Mtumie vizuri sana yule anayekusaidia majukumu yako kwenda vizuri maana peke yako huwezi lakini …
Continue reading "Anza Kuona Thamani Yake Mapema Kabla Hajaondoka"