Epuka Anguko Baada ya Mafanikio – Sehemu ya Pili: Kiburi Kinaanza Kukuua Taratibu

Baada ya kufika kileleni, hatua inayofuata mara nyingi ni kiburi.Hii ndiyo sumu ya mafanikio makubwa. Ni ile sauti ya ndani inayokuambia, “Sasa unajua kila kitu. Huna haja ya kusikiliza mtu yeyote. Wengine wote wako chini yako.” Ni rahisi sana kuingiwa na fikra hizi unapokuwa umepata mafanikio makubwa — unapokuwa unaheshimiwa, unasifiwa, na jina lako linazungumzwa …

Epuka Anguko Baada ya Mafanikio – Hatari Kubwa Zaidi Huwa Kileleni

Wengi hupigana sana kufikia mafanikio — wanajituma, wanavumilia, wanateseka, wanajinyima, na hatimaye wanafika kileleni. Lakini cha kusikitisha, baada ya muda mfupi mafanikio hayo huanza kuyeyuka taratibu kama barafu juani.Wamewahi kuwa juu sana, wanazungumziwa kila mahali, wanaheshimiwa, wanafanikiwa… lakini miaka michache baadaye, majina yao yanapotea. Tumeona wasanii waliokuwa nyota wakubwa wakipotea ghafla.Tumeona wafanyabiashara waliokuwa na mali …

Oh Wow, Oh Wow, Oh Wow — Siri ya Kuishi Maisha Yenye Maana Kabla Hayajaisha

Wakati Steve Jobs alipokuwa akikaribia kufa, maneno yake ya mwisho yalikuwa matatu rahisi lakini yenye uzito mkubwa: “Oh wow. Oh wow. Oh wow.” Hakusema “Laiti ningefanya…” au “Nilipaswa kujaribu…” — maneno haya ya majuto hayakutoka kinywani mwake. Badala yake, alionekana kushangazwa kwa furaha, kana kwamba alikuwa anaona uzuri wa safari aliyokuwa amemaliza kwa mafanikio. Hilo …

Jiandae Kabla Haijatokea – Siri ya Kuishi Bila Kutikiswa

Watu wengi hukimbilia kutafuta suluhisho baada ya matatizo kutokea, lakini wachache sana hujiandaa kabla. Hapa ndipo tofauti ya maisha ya utulivu na maisha ya vurugu inapoanzia. Ukiwa hujajiandaa, kila jambo linalotokea huonekana kama janga jipya. Kila changamoto inakuwa pigo, kila tatizo linakuwa dhoruba. Lakini mtu aliyejiandaa, hata mambo makubwa yakitokea, moyo wake unabaki imara. Anaumia, …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Saba)

Tumefika kwenye hitimisho la safari yetu ya kujifunza mbinu muhimu za kujitofautisha na kuwa mtu wa kipekee.Leo tunazungumzia jambo la saba, ambalo ni ingia kwenye mchezo (Showtime!) Ingia Kwenye Mchezo (Showtime) Kila mtu ana "mchezo" wake kwenye maisha — wengine ni kazi zao, wengine biashara zao, wengine huduma wanazotoa kila siku.Lakini wachache sana huona mchezo …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Sita)

Tumeona mambo matano muhimu yanayokusaidia kujitofautisha na kuwa mtu wa kipekee: kuwahi mapema, kuondoa usumbufu, kutoa thamani mara 10, kuwa na viwango vya juu, na kuzama ndani.Sasa tuendelee na jambo la sita: Weka Umakini Umakini ni silaha adimu sana kwenye dunia ya leo. Watu wengi wanafanya mambo bila kuweka umakini. Mwili wao uko kazini, lakini …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Tano)

Tumeona mambo manne muhimu ya kukutofautisha na wengine: kuwahi mapema, kuondoa usumbufu, kutoa thamani mara 10, na kuwa na viwango vya juu.Sasa tuangalie jambo la tano: Zama Ndani Watu wengi wanafanya vitu kwa juu juu. Wanafanya ili mradi tu kazi iishe, ili mradi tu biashara isisimame, au ili waonekane nao wanafanya jambo fulani.Lakini mafanikio makubwa …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Nne)

Tumeshaona mambo matatu muhimu ya kujitofautisha: kuwahi mapema, kuondoa usumbufu, na kutoa thamani mara 10.Sasa twende kwenye jambo la nne: Kuwa na Viwango vya Juu Kwenye maisha, kumbuka kanuni hii: hutapokea kile unachostahili, bali hupokea kile unachokubali. Watu wengi hushindwa kwa sababu wanakubali viwango vya chini – kazini, kwenye biashara, kwenye kipato, na hata kwenye …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Tatu)

Tayari tumeona mambo mawili muhimu ya kukutofautisha na wengine: kuwahi mapema na kuondoa usumbufu. Sasa twende kwenye jambo la tatu ambalo ni moja ya silaha kubwa za mafanikio: Toa Thamani Mara 10 Siri ya watu wa kipekee ni hii: hawatoi kile kinachotarajiwa pekee, bali wanatoa zaidi ya kinachotarajiwa.Kwa kila kitu unachofanya, jitahidi utoe thamani mara …

Njia Saba za Kujitofautisha na Kuwa wa Kipekee (Sehemu ya Pili)

Kwenye sehemu ya kwanza tuliona kwamba tabia ya kuwahi mapema inakutofautisha na watu wengi na kukuandaa kwa mafanikio makubwa. Leo tunaendelea na jambo la pili ambalo ni muhimu sana kwa yeyote anayetaka kujitofautisha na kufanya makubwa. Ondoa Usumbufu Kitu kinachowaangusha watu wengi siyo kwamba hawajui cha kufanya, bali ni usumbufu unaowazunguka. Wengi wapo bize na …

Design a site like this with WordPress.com
Get started