Maisha hayakosi maumivu ya kusalitiwa. Labda uliamini mtu kwa moyo wako wote, ukaweka siri zako kwake, au ukawekeza imani kubwa kwake, lakini mwishowe ukabaki na majeraha ya usaliti. Ni hali inayoacha maumivu makubwa moyoni, na mara nyingi inatufanya tuamini kwamba hakuna mtu mwaminifu tena. Lakini ukweli ni huu: usaliti wa wengine haupaswi kubadilisha utu wako.Kama …
Continue reading "Kwa Sababu Wengine Wamekusaliti, Haimaanishi na Wewe Uwe Msaliti"