Wanafalsafa wamekuwa wakituambia kuwa uko hivyo ulivyo kulingana na kile unachofikiri. Wengine hawaamini lakini ndiyo ukweli uhuo, akili zetu ni kama sumaku zinavuta kile ambacho kinaendana nacho. Vyote tulovyonazo leo vimetokana na nguvu ya uvutano ambayo tunayo leo na dunia huwa haimtengi mtu ila nguvu ya uvutano ndiyo inawatenga watu. Nguvu ya uvutano inatupa wale …
Continue reading “Hivi Ndivyo Unavyojijengea Hali Ya Kuvumilia Au Kufurahia Maisha Yako”