Hivi Ndivyo Unavyojijengea Hali Ya Kuvumilia Au Kufurahia Maisha Yako

Wanafalsafa wamekuwa wakituambia kuwa uko hivyo ulivyo kulingana na kile unachofikiri. Wengine hawaamini lakini ndiyo ukweli uhuo, akili zetu ni kama sumaku zinavuta kile ambacho kinaendana nacho. Vyote tulovyonazo leo vimetokana na nguvu ya uvutano ambayo tunayo leo na dunia huwa haimtengi mtu ila nguvu ya uvutano ndiyo inawatenga watu. Nguvu ya uvutano inatupa wale …

Changamoto Zote Za Matumizi Ya Kifedha Zinaanzia Hapa

Tunapambana kupata fedha kwa jasho lakini tunakuja kuipoteza kiurahisi. Kama hujui misingi ya fedha unataendelea kuteseka kila siku ni kama vile unachemsha mawe huku ukisubiria yaive. Huenda unapata hela lakini hujui fedha zako zinaenda wapi unabakia kumsingizia chuma ulete. Changamoto ya matumizi ya kifedha ni kubwa sana na wengi matumizi yanakuwa ni makubwa kuliko vipato …

Huwezi Kupendwa Na Watu Kama Hujafanya Kitu Hiki…

Muda mwingine sisi binadamu tunakuwa na unafiki kwa mfano, mtu anapokuwa hai wala hatumpi sifa zake tunasubiri pale anapokuwa mfu ndiyo tunaanza kumpa sifa nyingi kupita maelezo. Laiti kama sifa ambazo tunazowapa marehemu wetu tungekuwa tunawapa wakiwa hai huenda hata wangekuwa wanakufa huku wakifurahia na kutabasamu kwamba maisha yao yalikuwa yana maana hapa duniani kupitia …

Maisha Ya Kila Mtu Yanatakiwa Yawe Hivi…

Ukijaribu kuangalia maisha ya watu wengi lazima utakuta kuna maeneo ambayo yamepewa kipaumbele kuliko maeneo mengine. Siku zote ukiegemea kwenye kitu kimoja sana lazima mambo mengine yataenda mrama tu. Tumekuwa na maeneo mengi katika maisha yetu lakini maeneo haya katika maisha yapo katika utatu huu ambao ni maisha ya kiroho, kimwili na kiakili. Haya maisha …

Mambo Muhimu Ya Kuzingatia Ili Mtoto Wako Awe Bora.

Hakuna mtu aliyewahi kuandika barua kuzaliwa  ya kuomba kuzaliwa. Hakuna mtu aliyeomba kuzaliwa na mzazi ambaye anaye sasa lakini sisi sote tumejikuta tumezaliwa na wazazi ambao tunao sasa. Kumbe basi mzazi ni zawadi kutoka kwa Mungu. Wazazi wengi wa siku wanapambana kweli kuhakikisha wanawapeleka watoto wao shule nzuri wengine wanasema kabisa hawezi akapata taabu kama …

Mbinu Mbili Za Kutumia Pale Unapokutana Na Hali Ngumu Ya Kifedha

Hakuna kitu kinachowasumbua watu wengi kama changamoto za kifedha. Fedha imekuwa ni jawabu la mambo yote kwa kila mtu hivyo mtu akikosa fedha na maisha yake hayawezi kwenda kama vile anavyotaka yeye. Kila mtu ana shida ya hela ndiyo maana kila siku tunapambana ila shida iko kwa yule mtu ambaye hapambani maana ni ngumu kupata …

Mambo Matatu (03) Yakufanya Pale Unapojikuta Njia Panda Hujui Nini Cha Kufanya.

Huwa muda mwingine tunakuwa na maswali mengi ya kujiuliza nitaanzia wapi? Tunabakia njia panda huku tukiwa hatujui hata tufanye nini. Wengine wanakuambia sina cha kufanya ndiyo maana nimebakia njia panda au wengine watakuambia hawezi kufanya kitu. sababu ni nyingi kweli ambazo watu huwa wanazitafuta  kwanini hawezi badala ya kwanini wanaweza. Arthur Ashe aliwahi kunukuliwa akisema …

Kama Unataka Mafanikio Ya Haraka Basi Soma Hapa

Pale tunapowaangalia wenzetu ambao tayari wamefikia hatua ya juu basi na sisi tunaanza kujiona kama vile tumechelewa na hatuwezi kufika kule tunakotaka kufika. Tunaanza kutaka sasa mafanikio ya haraka na tunakaribisha tamaa za kila aina tunakuwa na njaa na sisi ya kutaka vile ambavyo wenzetu tayari wameshavipata kwa muda mfupi sana. Mafanikio ya haraka kwa …

Kila Mtu Ana Maisha Bora Kama Akiishi Hivi…

Tumekuwa ni watu wakuyakimbia maisha yetu. Tunayaona maisha yetu hayana maana na wala hatuoni hata hatua ndogo au kubwa tunazopiga. Na kipo kitu ambacho kinafanya maisha yako yawe hayana maana kuendelea kuishi. Maisha yetu yamekuwa yana utupu,tena katika zama hizi za taarifa ndiyo kabisa kila siku watu wanaendela kuyachukia maisha yao badala ya kuyafurahia. Hakuna …

Kama Unajua Misingi Hii Ya Fedha Dunia Haiwezi Kukusumbua

Kila mtu anajua kuwa fedha ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku hilo halina ubishi. Haihitaji hata wadhamini au wahisani kutoka nchi za nje kuja kukuthibitishia kama fedha ni muhimu au la. Fedha ni jawabu la mambo yote kama mhubiri anavyosema. Kila kukicha wanaibuka watu wanaotangaza namna rahisi ya kupata fedha, wengine wanasema …

Design a site like this with WordPress.com
Get started