Mpendwa rafiki yangu, Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, hatutakiwi kuwabagua tunaalikwa kuwapokea na kuwalea kadiri Mungu anavyotujalia. Mzazi amepewa majukumu mengi kupitia mtoto na jukumu la kwanza mzazi ndiye kuhani mkuu kwa mtoto wake, jukumu la malezi ni la wazazi wote wawili ndiyo mpango mzuri, mtoto anayepata malezi ya baba na mama ni tofauti …
Continue reading “Sababu Moja Kwanini Watoto Wengi Wa Siku Hizi Siyo Wabunifu”