Mpendwa rafiki yangu, Sisi binadamu tunaasili ya kusahau. Muda mwingine tunaweza kuwaambia watu kitu na wasikitekeleze badala ya sisi kuwambusha tunaanza kuumba mambo mengine mengi. Wengine watasema mtu fulani anajisikia au ana dharau na mengine. Ukweli ni kwamba watu wana mambo mengi. Na hakuna mtu anayefikiria mambo yako muda wote. Kila mtu ana mambo yake …
Continue reading “Wakumbushe Watu Kwenye Kile Unachotaka Kufanikiwa”