Kila mmoja wetu ni mtoa huduma yaani kila mtu kuna kitu anauza kwa mwingine kwa lugha rahisi.Kwa sababu sisi ni binadamu na tunaishi kwa kutegemeana. Kama ulikuwa hujui asilimia 85 ya mafanikio yako yanatoka kwa wengine na asilimia 15 tu inatoka kwako.Kwa maana hiyo basi, hata useme wewe ni jeshi la mtu mmoja ni ngumu …
Continue reading “Haya Ndiyo Madhara Ya Utoaji Wa Huduma Ya Hovyo”