Iko njia moja ya uhakika ya kupata fedha. Usidanganyike na njia za panya. Watu watakuambia kuna njia rahisi ya kupata fedha, jiulize kama kuna njia rahisi ya kupata fedha kwanini wasiwe nazo wao? Kuna mtu ambaye hana shida ya fedha? Sasa ukiona mtu anakuambia njia rahisi ya kupata fedha, jua wewe ndiyo fedha yenyewe. Ukiona …
Continue reading “Kama Ukitengeneza Maana, Utatengeneza Hiki”