Hakuna sauti ambayo watu wanapenda kuisikia kama sauti ya jina lake.Watu wanapenda kusikia wakiitwa majina yao, hii inawafanya wajisikie kuthaminiwa na ni watu wa thamani. Watu huwa wanapenda kufanya kila namna ili tu majina yao yaweze kukumbukwa. Kwa mfano, matajiri wengi wako radhi hata wajenge majengo kwa msaada lakini waitwe majina yao. Watu wanapenda kuitwa …
Continue reading “Hii Ndiyo Sauti Ambayo Mtu Anapenda Kuisikia”