Kama maisha ni shule, basi changamoto ndiyo darasa lenyewe. Dunia huwa inatupa mafunzo kila kukicha kupitia yale tunayokutana nayo.Dunia inatupa mafunzo ambayo yanatuwezesha kukua, kubadilika na kuamsha madhumuni yako makubwa hapa duniani. Huwezi kufeli katika haya maisha kama uko tayari kujifunza. Kama ambavyo vyombo ili vitakate huwa vinasuguliwa na stili waya. Kusuguliwa kule na stili …
Continue reading “Jinsi Ya Kung’arishwa Na Mawimbi Ya Maisha”