Usijisumbue na watu ambao hawajui kile wanachotaka kwenye maisha yao. Hata kama wakikijua hawajitoi kukipata kile wanachotaka. Kusudi kubwa katika maisha yako ni kujua kile unachotaka. Ukishajua kile unachotaka utakua unajua wapi unaenda. Ukishajua kile unachotaka, utakua unakimbia mbio zako. Unashindwa kukimbia mbio zako kwa sababu hujui maana ya mafanikio kwako. Ukishajua maana ya mafanikio …
Continue reading “Usijisumbue Na Watu Hawa Kwenye Maisha Yako”