Habari ya leo mpendwa Rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? hongera kwa siku hii ya leo na karibu sana katika uchambuzi wa kitabu kama ilivyokawaida leo ninakwenda kukushirikisha wa kitabu cha Many Miles to Go kilichoandikwa na mwandishi mashuhuri duniani Brian Trancy na haya ni machache kati ya mengi. Uchambuzi Wa kitabu; many …
Category Archives: Uncategorized
Fursa Tatu Za Kipekee Zitakazokuwezesha Kukua Kiakili Na Kutanua Wigo Wa Maarifa
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeamka salama. Hongera sana kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo hivyo itumie vizuri nafasi uliyopata. Rafiki, kwa namna ya pekee nikualike katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kile nilichokuandalia siku hii ya leo. Karibu …
Continue reading “Fursa Tatu Za Kipekee Zitakazokuwezesha Kukua Kiakili Na Kutanua Wigo Wa Maarifa”
Sehemu Sahihi Ya Kuelezea Hisia Zako Juu Ya Watu Wako Wa Karibu
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa umeamka salama na hongera sana kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo. Rafiki, Karibu sana katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza wote kwa pamoja yale mazuri niliyokuandalia. Mitandao ya kijamii iwewafanya watu kuwa wanafiki muda mwingine, watu …
Continue reading “Sehemu Sahihi Ya Kuelezea Hisia Zako Juu Ya Watu Wako Wa Karibu”
Huyu Ndiye Mganga Anayetibu Magonjwa Mengi Duniani
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku nyingine mpya,bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kufanya makubwa na kutegemea kupata matokeo makubwa. Rafiki, nakualika uiendee siku hii ya …
Continue reading “Huyu Ndiye Mganga Anayetibu Magonjwa Mengi Duniani”
Haijalishi Unaishi Maisha Gani Lakini Kupata Kitu Hiki Ni Sehemu Ya Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa KESSY DEO? Ni matumaini yangu kuwa umeamka salama uko tayari kwenda kupambana katika siku hii ya leo ili uweze kupata ushindi unaotazamia kuupata siku hii ya leo. Hongera sana rafiki kwa zawadi nzuri ya leo, umestahilishwa kuvuta pumzi leo je unakwenda kuacha alama gani katika …
Continue reading “Haijalishi Unaishi Maisha Gani Lakini Kupata Kitu Hiki Ni Sehemu Ya Maisha Yako”
Jinsi Ya Kunufaika Na Kila Mtu Kwenye Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko vizuri na umeianza siku kwa hamasa kubwa ya kwenda kufanya vizuri. Rafiki, napenda kukualika tena katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza wote kwa pamoja. Hivyo nakualika tusafiri pamoja hadi pale tamati ya kipindi chetu cha leo. …
Continue reading “Jinsi Ya Kunufaika Na Kila Mtu Kwenye Maisha Yako”
Uchambuzi Wa Kitabu; Mambo Muhimu Niliyojifunza Kutoka Katika Kitabu Cha Principles(Misingi 210 Katika Maisha Na Kazi)
Habari ya leo mpendwa rafiki Na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo?Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeamka salama asubuhi ya leo. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo na karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo leo nitakwenda kukushirikisha uchambuzi wa kitabu. Karibu sana rafiki tuweze kusafiri pamoja hadi pale tamati …
Kuwa na Matumaini Lakini Usiweke Mategemeo Yako Sehemu Hii
Habari ya asubuhi mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeamka salama. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo ni nafasi nzuri kwako kwenda kufanya kilicho bora ili kupata matokeo unayotaka. Rafiki, nikualike tena katika somo letu la leo ili tuweze kujifunza yale muhimu niliyokuandalia …
Continue reading “Kuwa na Matumaini Lakini Usiweke Mategemeo Yako Sehemu Hii”
Zawadi Bora Ya Kumnunulia Mtoto Wako Msimu Wa Sikukuu
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa KESSY DEO? Ni matumaini yangu kuwa umeamka salama uko tayari kwenda kupambana katika siku hii ya leo ili uweze kupata ushindi unaotazamia kuupata siku hii ya leo. Hongera sana rafiki kwa zawadi nzuri ya leo, umestahilishwa kuvuta pumzi leo je unakwenda kuacha alama gani katika …
Continue reading “Zawadi Bora Ya Kumnunulia Mtoto Wako Msimu Wa Sikukuu”
Usichoke Kufanya Kitu Hiki Kwa Ajili Ya Wengine
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Hongera kwa zawadi nzuri ya siku hii ya leo na ni vema na haki kumshukuru Mungu kwa kutustahilisha tena kuvuta pumzi siku ya leo. Rafiki, kwa namna ya pekee napenda kukualika katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza wote kwa pamoja. Kwahiyo, karibu …
Continue reading “Usichoke Kufanya Kitu Hiki Kwa Ajili Ya Wengine”