Watu wengi hawashindwi kwa sababu hawana uwezo.Wanashindwa kwa sababu hawadumu. Kuanzia ni rahisi.Kuendelea ndiyo kazi. Kila mwaka watu huanza: Biashara mpya Malengo mapya Ratiba mpya Nidhamu mpya Lakini baada ya wiki chache, moto unazima.Si kwa sababu jambo ni gumu sana, bali kwa sababu hawakujenga uthabiti. Uthabiti siyo kufanya mengi, ni kufanya machache kwa muda mrefu …
Continue reading “January 12: Kujenga Uthabiti Bila Kuchoka Mapema”