Moja ya kauli mbiu ya watu wengi kwenye upande wa fedha ni kwamba, wanapata fedha lakini hawajui zinaenda wapi. Rafiki, kitu chochote ambacho hakipimwi, huwezi kujua kama kinakua au kinakufa. Moja ya changamoto ya watu wengi kwenye fedha ni kutokufanya tathmini za fedha zao.Hawajui fedha zao zinaenda wapi. Ukitaka kujua fedha zako zinaenda wapi, fuatilia …
Continue reading "Napata Pesa Lakini Sijui Hata Zinaenda Wapi"