Kila mmoja wetu ana kitu cha kipekee ndani yake. Jinsi unavyoishi na watu, ndivyo unavyowavuta watu wanaofanana na wewe.Ishi maisha ambayo yanagusa wengine.Ishi maisha ya msaada, wasaidie wengine kupitia kile unachofanya.Watu wakifanikiwa, hawatakuacha. Tengeneza jina, tengeneza marafiki ambao ukiwa na jambo lako ni rahisi kukusaidia.Wavute watu wako kwa upendo nao watavutika.Usitumie mabavu kuwavuta watu, bali …
Kila Siku Fikiria Vitu Hivi Viwili
Kama unataka kufanikiwa kwenye eneo la fedha, basi unapaswa kufanya mambo haya mawili. Pale unapoamka, fikiria namna ya kuongeza kipato chako kwanza. Fikiria leo nitaenda kutoa thamani gani kwa watu?Leo nitaenda kuwasaidia nini watu ? Watu wana matatizo mengi, na unapoenda kuwasaidia na kuwapa suluhisho watakushukuru na kukusaidia. Angalia kila mtu ana fedha zako, swali …
Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili
Mwanamafanikio, Watu wanaweza kukushinda kwenye uzuri, mwonekano vingine vingi. Lakini liko eneo ambalo hata watu wafanye nini, hawawezi kukushinda. Kwa sababu ni eneo ambalo liko ndani ya uwezo wako. Waruhusu watu wakushinde kwenye yote lakini usikubali mtu akushinde kwenye kazi. Ifanye mikono yako kuwa ya Dhahabu, mtu akishika kazi yako na ajue kweli fulani amefanya …
Continue reading "Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili"
Kazi Haimtupi Mtu
Watu wanaweza kukushinda kwenye uzuri, mwonekano vingine vingi. Lakini liko eneo ambalo hata watu wafanye nini, hawawezi kukushinda. Kwa sababu ni eneo ambalo liko ndani ya uwezo wako. Waruhusu watu wakushinde kwenye yote lakini usikubali mtu akushinde kwenye kazi. Ifanye mikono yako kuwa ya Dhahabu, mtu akishika kazi yako na ajue kweli fulani amefanya kazi. …
Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili
Mwanamafanikio, Watu wanaweza kukushinda kwenye uzuri, mwonekano vingine vingi. Lakini liko eneo ambalo hata watu wafanye nini, hawawezi kukushinda. Kwa sababu ni eneo ambalo liko ndani ya uwezo wako. Waruhusu watu wakushinde kwenye yote lakini usikubali mtu akushinde kwenye kazi. Ifanye mikono yako kuwa ya Dhahabu, mtu akishika kazi yako na ajue kweli fulani amefanya …
Continue reading "Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili"
Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili
Mwanamafanikio, Watu wanaweza kukushinda kwenye uzuri, mwonekano vingine vingi. Lakini liko eneo ambalo hata watu wafanye nini, hawawezi kukushinda. Kwa sababu ni eneo ambalo liko ndani ya uwezo wako. Waruhusu watu wakushinde kwenye yote lakini usikubali mtu akushinde kwenye kazi. Ifanye mikono yako kuwa ya Dhahabu, mtu akishika kazi yako na ajue kweli fulani amefanya …
Continue reading "Usikubali Watu Wakushinde Kwenye Eneo Hili"
Ubaya Utakurudia
Mwanamafanikio, Hapa dunia kuna kanuni ya asili inayoiongoza dunia.Wanaiita Karma.Karma inasema kwamba, chochote unachomfanyia mwingine kiwe ni kibaya au kizuri kitakurudia. Kuwa mwaminifu katika kile unachofanya.Usiwafanyie wengine ubaya.Kama unafanya kazi yako ifanye kwa uaminifu mkubwa kama vile ni yako. Ukishindwa kuwa mwaminifu na vitu vya watu hata vya kwako vitakushinda pia. Kama mtu anakupa mkate …
Acha Mazoea
Kitu ambacho huwa kinaua vitu vingi vizuri ni mazoea. Mwanzoni kabla mtu hajapata kile anachotak, huwa anaweka kazi sana kiasi cha kupata kile anachotaka. Lakini, pale mtu anapopata, anaingiwa na ile hali ya ukawaida ndani yake. Hali ya kufanya kwa mazoea. Hii inaonekana hata katika mahusiano ya watu tunaohusiana nayo. Kwa mfano, mtu anapokuwa anataka …
Usiendelee Kuchimba
Sheria ya shimo inasema, pale unapojikuta uko kwenye shimo, usiendelee tena kuchimba. Watu wanajikuta katika matatizo fulani, wanagundua kabisa kitu fulani siyo sawa, lakini bado wanaendelea kukomaa nacho na mwisho wa siku kinakuja kuwaadhibu vibaya. Kwa mfano, kabla ya kuingia kwenye mahusiano na mtu, umegundua tabia fulani ambayo siyo sawa kwako.Lakini, unaendelea kujipa moyo na …
Kama Unataka Kufanikiwa Badilisha Kwanza Hiki
Rafiki, Hakuna kitu kinachowakwamisha watu wengi kwenye maisha yao kama mtazamo.Mtazamo ndiyo kiini cha wewe kwenda mbele au kurudi nyuma. Kama unaona huendi mbele, ni wazi kabisa unarudi nyuma. Kumbuka, kwenye maisha hakuna kusimama bali kuna kwenda mbele na kurudi nyuma. Ukiona unaweza uko sahihi. Na ukiona huwezi, uko sahihi pia.Kile unachokiamini kadiri ya mtazamo …
Continue reading "Kama Unataka Kufanikiwa Badilisha Kwanza Hiki"