Hii Ndio Mbinu Bora Ya Ushindani Itakayokuwezesha Kushinda Katika Kile Unachofanya Kila Siku

Habari Mpendwa Rafiki na Msoamji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matuamini yangu hujambo na umeianza wiki yako kwa furaha na hamasa ya kwenda kufanya kazi na kutegemea kupata matokeo bora. Chagua kila siku kuwa na furaha kwani unapokuwa una furaha utawavutia hata wale waliokuwa na huzuni kuwa na furaha. Usiwe na kisirani cha kununa …

Hili Ndilo Tatizo Linalowasumbua Watu Wengi Kushindwa Kutimiza Ndoto Zao

Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa wa Kessy Deo, natumaini uko salama rafiki yangu na unaendelea vizuri kuboresha maisha yako lakini pia kuwasaidia wengine kwa namna moja au nyingine. Mpendwa rafiki, ungana nami katika makala yetu ya leo tuweze kuanza pamoja hadi tamati ya makala hii. Kila mtu anahitaji kuwa na maisha mazuri …

Mambo Ishirini (20) Niliyojifunza Katika Kitabu Cha The Leader Who Had No Title

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa Kessy Deo. Natumaini hujambo na unaendelea vizuri. Karibu Rafiki nikushirikishe mambo muhimu niliyojifunza katika kitabu cha The Leader Who Had No Title. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha The Leader Who Had No Title na Robin Sharma ni kama ifuatavyo; Utangulizi: Robin Sharma ni mwandishi mashuhuri duniani aliyejitoa katika …

Hili Ndilo Jambo Muhimu Ambalo Unaweza Kulifanya Hata Wewe Kwenye Maisha Yako

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu uko salama na unaendelea vizuri kuitendea haki zawadi ya siku hii ya leo. Chagua leo kuwa hii ni siku yako ya ushindi. Chagua kuwa na furaha siku hii ya leo na ishi katika mtazamo chanya siku zote. Karibu rafiki katika makala yetu …

Hizi Ndio Faida Za Kunyoosha Mapito Unayopitia Kwenye Maisha Yako

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa Mtandao wa Kessy Deo? Natumaini unaendelea vizuri rafiki na umeianza siku yako vizuri sana kwa hamasa nakutegemea kupata matokeo chanya. Napenda kukualika ndugu msomaji katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja nakusihi kuwa nami mwanzo hadi mwisho wa makala hii. Katika maisha yetu ya kila siku watu …

Huu Ndio Ushuhuda Wa Kweli Wa Mtu Aliyekosa Kazi Kwasababu Ya Kukosa Kigezo Hiki

Habari  Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri katika shughuli zako za kila siku. Karibu ndugu msomaji katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja.        SOMA; Hizi Ndizo Faida Za Kufunga Ndoa Na Utajiri Na Kuupa Umasikini Talaka Ukijihisi unaweza kufanya …

Hizi Ndio Faida Za Kuweka Miadi Kwenye Maisha Yetu Ya Kila Siku

Habari mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Leo ni siku nyingine mpya kabisa natumaini umeamka salama rafiki na unakwenda kuongeza thamani katika kazi na siyo kufanya kazi kimazoea. Karibu rafiki katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Katika karni hii ya ishirini na moja (21) ambapo dunia iko katika zama …

Hili Ndilo Hitaji La Kwanza La Mwanadamu Katika Maisha Yake

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko vizuri na umeanza wiki hii kwa hamasa ya kwenda kuongeza thamani kwenye kile unachofanya. Mpendwa msomaji na rafiki yangu napenda kukualika tena katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Je unajua leo nimekuandalia nini rafiki? Tusafiri pamoja mpaka mwisho wa makala …

Fanya Tathimini Hii Muhimu Sana Kabla Hujaenda Kulala Leo

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini hujambo rafiki na karibu katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Watu wengi wanafanya kazi na kuishi hapa duniani lakini wanakosea kitu kimoja muhimu ambacho ni kujifanyia tathimini au kujichunguza mwenendo mzima wa maisha yake kuanzia kimwili, kiroho na kiakili. Kama unaamka …

Mambo Ishirini (20) Niliyojifunza Katika Kitabu Cha A Notes From A Friend

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? natumaini hujambo na unaendelea vizuri. karibu katika makala yetu ya leo ambapo leo tutajifunza uchambuzi wa kitabu cha A notes from a friend kilichoandikwa na mwandishi Anthony Robbins. karibu rafiki nikushirikishe mambo niliyojifunza kupitia kitabu hiki. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha A Notes From …

Design a site like this with WordPress.com
Get started